Abdul mrope
Member
- Jul 6, 2017
- 37
- 79
Dalili 12 zinazothibitisha upo kwenye "toxic relationship" au mahusiano yasiyo husiana na mapenzi.
1. Ana pande mbili kama shilingi kumi
Kuna siku anakupenda sana na siku nyingine unatafuta wapi ulikosea ukaombe msamaha, ndugu hio ni toxic element moja kubwa.
2. Siki zote hakosei na siyo wa kwanza kuomba msamaha
Hata kwenye hili bado upo tu na unategemea kuna siku atabadilika? Huyo ni toxic na hakuna namna hayo mahusiano yatafanya kazi. Mtu anaekujali hawezi kuacha kuomba msamaha ili muwe na amani.
3. Anakutumia wewe zaidi
Kama upo kwenye mahusiano na unadhani kwamba wewe ndio unafanya vitu vingi, unajali na kutumikia hayo mahusiano zaidi au ana manipulative behaviours that's intoxicated tena na sumu ya panya. Lazima kuwe na mutual actions (unison responsibility).
4. Hisia zake ni zako pia
Kama upo kwenye mahusiano na mtu wako kila akiwa na mood mbaya basi lazima akutupie mpira muwe na mood mbovu wote (projection of feelings), that's toxic. Mtu anaekujali anatamani kupata faraja kutoka kwako. Fungua kichwa hicho mapema kabla hujachelewa.
5. Lazima ufanye uchaguzi
Kama mtu wako mara kadhaa amekua ana kuweka kwenye mizani kukupima kama utachagua kitu fulani au yeye (prove yourself to them), na bila shaka lazima utampa yeye nafasi hata kama kitu hicho ni muhimu kiasi gani. Hiyo ni toxic discombabulated relationship.
To be continued, tukafanye maombi kwanza.
Like, share kwa wingi zaidi ili tuweze kuendelea.
1. Ana pande mbili kama shilingi kumi
Kuna siku anakupenda sana na siku nyingine unatafuta wapi ulikosea ukaombe msamaha, ndugu hio ni toxic element moja kubwa.
2. Siki zote hakosei na siyo wa kwanza kuomba msamaha
Hata kwenye hili bado upo tu na unategemea kuna siku atabadilika? Huyo ni toxic na hakuna namna hayo mahusiano yatafanya kazi. Mtu anaekujali hawezi kuacha kuomba msamaha ili muwe na amani.
3. Anakutumia wewe zaidi
Kama upo kwenye mahusiano na unadhani kwamba wewe ndio unafanya vitu vingi, unajali na kutumikia hayo mahusiano zaidi au ana manipulative behaviours that's intoxicated tena na sumu ya panya. Lazima kuwe na mutual actions (unison responsibility).
4. Hisia zake ni zako pia
Kama upo kwenye mahusiano na mtu wako kila akiwa na mood mbaya basi lazima akutupie mpira muwe na mood mbovu wote (projection of feelings), that's toxic. Mtu anaekujali anatamani kupata faraja kutoka kwako. Fungua kichwa hicho mapema kabla hujachelewa.
5. Lazima ufanye uchaguzi
Kama mtu wako mara kadhaa amekua ana kuweka kwenye mizani kukupima kama utachagua kitu fulani au yeye (prove yourself to them), na bila shaka lazima utampa yeye nafasi hata kama kitu hicho ni muhimu kiasi gani. Hiyo ni toxic discombabulated relationship.
To be continued, tukafanye maombi kwanza.
Like, share kwa wingi zaidi ili tuweze kuendelea.