Town Boss Ladies

Town Boss Ladies

baada ya kufuatilia mada za huyu mama Kasinde kitambo sasa leo nimeamini anaweza kuwa na premenopausal symptoms.
Miaka kama 4 iliyopita huyu bi shosht alifyatukia na kuniita mhuni kwa tatizo dogo tu yaani katika maelezo yangu nilikosea saa yaani niliandika saa za kizungu badala ya kiswahili!
 
yani hao boss upupu ni viazi,
ao wanaotumiwa ni viazi
yani story imejaa viaz mbatata tu..

lemmi pass
 
Acha porojo za kike, yani boss lady anazisikia habari za chiku afu amtafute mtu mwingine???!! Kwani huyo aliempa taarifa za chiku hawezi kupata taarifa zingine?! Nafikiri perio.. yako inakaribia.
Kibongo bongo 255=zero
You named yourself .....255
No more comment.
 
Hata Huyo Boss Lady Nayo Ni Bwege Anashindwa Kumkabili Mwanamke Mwenzie Na Pesa Anazo Mpaka Amtume Mwanaume Hizo Pesa Za Kishetani Zimekosa Matumizi
Huwajui wadada wa town weyee. .....
Anyways sihitajiki kukuelezea who are they
 
Huu ni ugonjwa mpya?
Kwa hiyo the so called boss whatsoeverakishaona kijana anaongea na chiku anafaidikaje?

Nazeeka kwa kweli.
Pole sana unaonekana uko menopause cubic umemzidi ajuza Kasie uzee. Hata hivyo umepotea sana usijali ujumbe umewafikia walengwa. Wameshaniambia msg delivered.
 
Mwenzio (lara 1) anatubu huko.
Huzuiliwi kumuunga mkono, imani, haiba na utashi wetu haufanani. Ukiona ujumbe umekulenga shuhulika nao mwenyewe usitafute waumini wa kukusindikiza na kukuunga mkono.
 
Ni makosa makubwa sana kudhani kuwa kila anayevaa suruali na mwemye utitiri wa ndevu ni mwanamume.....
 
baada ya kufuatilia mada za huyu mama Kasinde kitambo sasa leo nimeamini anaweza kuwa na premenopausal symptoms.
Miaka kama 4 iliyopita huyu bi shosht alifyatukia na kuniita mhuni kwa tatizo dogo tu yaani katika maelezo yangu nilikosea saa yaani niliandika saa za kizungu badala ya kiswahili!

Duuh aiseeh unahitaji trophy ya ufuatiliaji...... ( mods tafadhali do the needful kwa huyu member) yaani muda wote huo unanidodosa khaaaa una
muda wa ziada aiseeh.
Mbona umechelewa hata hivyo, nshaanza menopause kitambo tuu hivo assumptions zako ziko out date .
Kasie nowdays ni ajuza bin kikongwe na sio mama kama ulivyosema.
 
Ni makosa makubwa sana kudhani kuwa kila anayevaa suruali na mwemye utitiri wa ndevu ni mwanamume.....
Washuhulikieni hao wasiwaharibie mkaonekana wote mmechina maana hakuna namna ingine ya kuwatofautisha na suruali za ukweli. Si wajua samaki mmoja akioza. ..... hakuna namna .....
 
(*A men should..)??? sio lazima utumie kingereza mkuu Kasinde
Correction...... A man should or Men should

Errors are there even in UK...... am not a perfectionist and that doesn't stop me from using that language.
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wamebaki wachacheeeeeeee, wengi wavaa suruali tu.
 
Washuhulikieni hao wasiwaharibie mkaonekana wote mmechina maana hakuna namna ingine ya kuwatofautisha na suruali za ukweli. Si wajua samaki mmoja akioza. ..... hakuna namna .....

Ni ngumu kuwashughulikia kwa kuwa kila mmoja anaishi katika ulimwengu wake.....na kila mmoja anajishuhulisha kwa namna anavyojua yeye.....

Lakini si vyema kasoro ya mtu mmoja kuijumlisha kuwa ya wote...
 
Ni ngumu kuwashughulikia kwa kuwa kila mmoja anaishi katika ulimwengu wake.....na kila mmoja anajishuhulisha kwa namna anavyojua yeye.....

Lakini si vyema kasoro ya mtu mmoja kuijumlisha kuwa ya wote...

Ni kweli usemalo dawa kuwapuuza tuu mambo yao...
 
Back
Top Bottom