Kenya 2022 Towards Kenya's August 2022 election, Ukabila is at its peak!

Kenya 2022 General Election

Binamu ya Uhuru amkosoa kuhusu kuidhinisha Raila


Binamu ya Uhuru amkosoa kuhusu kuidhinisha Raila


NA MWANGI MUIRURI
BINAMUYE Rais Uhuru Kenyatta amemkosoa kiongozi wa taifa akisema hatua yake ya kumuunga mkono Raila Odinga kuwa mrithi wake ni “kinyume cha kiapo kilicholishwa watu wa jamii ya Gema mnamo 1969”.


Bw Kung’u Muigai anasema waliokula kiapo hicho waliapa kuzuia babake Bw Odinga, Oginga Odinga na uzao wake kuchuka madaraka ya kuongoza Kenya.



Hatuwezi kuruhusu "kihee" kutawala!
 
Back
Top Bottom