Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,317
- 79,776
- Thread starter
- #81
Hatuwezi kuruhusu "kihee" kutawala!Binamu ya Uhuru amkosoa kuhusu kuidhinisha Raila
NA MWANGI MUIRURI
BINAMUYE Rais Uhuru Kenyatta amemkosoa kiongozi wa taifa akisema hatua yake ya kumuunga mkono Raila Odinga kuwa mrithi wake ni “kinyume cha kiapo kilicholishwa watu wa jamii ya Gema mnamo 1969”.
Bw Kung’u Muigai anasema waliokula kiapo hicho waliapa kuzuia babake Bw Odinga, Oginga Odinga na uzao wake kuchuka madaraka ya kuongoza Kenya.
Binamu ya Uhuru amkosoa kuhusu kuidhinisha Raila – Taifa Leo
taifaleo.nation.co.ke
Duh.Mwaka huu lazima kitanuka hapo kwa majirani..
Huu ni upuzi sana