Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,548
Toka Rais Magufuli aseme ataenda kuchukua watalaam wa IT nimeona ni vyema tuanze kuangalia na utalaam wa chini kabisa wa kutengeneza tovuti, na hapa tunaangazia tovuti za Serikali ambazo nyingi zimetengenezwa na watalaam wa IT wa Kitanzania.
Baada ya kuziangalia nimegundua kuwa kuna tatizo la kiutendaji kama si la kiuzalendo. Kazi nyingi katika eneo hili zimelipuliwa sana na zipo katika kiwango cha chini sana ukilinganisha na majirani zetu Rwanda na Kenya hata Uganda.
Tovuti nyingi za Serikali hazijaisha hadi leo, kuna page hazifunguki na wala hazina taarifa zinazohitaji kutokana na design za ovyo zilizotumika na pia hazina viwango kiusalama na hazipo kurahisisha maisha ya mwanachi wa Tanzania zipo kama urembo tuu.
Hata zile zilizotengenezwa na e- government zipo mahututi, zote zimetengenezwa kwa template tena zina fanana na mbaya hazina info za kutosha na too static. Hizi ni site za mazoezi kwa hackers hazina ubunifu wala creactivity yoyote .
Mfano ni tovuti ya National Defence College, sikutegemea kukuta tovuti ya jinsi ile kwa chuo kikubwa na chenye heshima kama kile. Aliyetoa tenda sijui nini kilimridhisha hata akairuhusu iwekwe hewani.
Mbeya university (MUST) admin tafuta kazi inayo kufaa.
Kama unajua tovuti mbaya weka hapa hawa wataalam wa IT wakibongo waone kazi zao mbaya. Wizi mtupu.
Asanteni.
Baada ya kuziangalia nimegundua kuwa kuna tatizo la kiutendaji kama si la kiuzalendo. Kazi nyingi katika eneo hili zimelipuliwa sana na zipo katika kiwango cha chini sana ukilinganisha na majirani zetu Rwanda na Kenya hata Uganda.
Tovuti nyingi za Serikali hazijaisha hadi leo, kuna page hazifunguki na wala hazina taarifa zinazohitaji kutokana na design za ovyo zilizotumika na pia hazina viwango kiusalama na hazipo kurahisisha maisha ya mwanachi wa Tanzania zipo kama urembo tuu.
Hata zile zilizotengenezwa na e- government zipo mahututi, zote zimetengenezwa kwa template tena zina fanana na mbaya hazina info za kutosha na too static. Hizi ni site za mazoezi kwa hackers hazina ubunifu wala creactivity yoyote .
Mfano ni tovuti ya National Defence College, sikutegemea kukuta tovuti ya jinsi ile kwa chuo kikubwa na chenye heshima kama kile. Aliyetoa tenda sijui nini kilimridhisha hata akairuhusu iwekwe hewani.
Mbeya university (MUST) admin tafuta kazi inayo kufaa.
Kama unajua tovuti mbaya weka hapa hawa wataalam wa IT wakibongo waone kazi zao mbaya. Wizi mtupu.
Asanteni.