Tovuti hii sikuwahi kuiwaza hapa Bongo

Tovuti hii sikuwahi kuiwaza hapa Bongo

SuperSami

Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
30
Reaction score
3
Wakuu salam!

Leo nimeona niwashirikishe habari hii hasa wadau wa manunuzi online. Kuna jamaa ambao ni member wa humu JF (mmoja ni Konzogwe nahisi), wamefungua kampuni inayosaidia watu wanaotaka kununua online ila wanashindwa. Wao wakikufanyia kazi unawalipa commission kidogo.

Web yao ni hii hapa www . kalumbilo . co. tz. Watembelee uone, mi tayari nimepata huduma yao.
 
Wakuu salam!
leo nimeona niwashirikishe habar hii hasa wadau wa manunuzi online. kuna jamaa ambao ni member wa humu jf (mmoja ni konzogwe nahisi) wamefungua kampuni inayosaidia watu wanaotaka kununua online ila wanashindwa.
wao wakikufanyia kaz unawalipa commission kidogo web yao ni hii hapa www.kalumbilo.co.tz
watembelee uone, mi tayar nimepata huduma yao.
Hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.
 
Hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.
Malipo kidogo ndo sh. ngapi?
 
Hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.

Kw amfano nimeona PC katika website ya Amazon inagharimu dola 247/. Je mpaka ifike hapa TZ mtanichaji kiasi gani?? Je bidhaa mliyoniagizia ikatokea ikapotea nini kinafanyika??
 
Malipo kidogo ndo sh. ngapi?

10% of CIF price. Naamini unajua maana CIF. Ila kwa wale wasiojua CIF ni kifupi cha Cost+Insurance+Freght, kwa maana nyingine garama yote utakayolipa kule mfano japan, asilimia kumi yake ndo commission yetu. Mfano ukilipa milion 4 CIF basi ya kwetu ni laki nne tu. Na hiyo garama itajumuisha shughuli zote za mawasiliano na kutafuta clearing agent. Ww tutakuarifu ulipaj wa ushuru ukiwa hapo hapo ulipo na mwisho kabisa tutakuarifu siku ya kwenda kuchukua mzigo wako. Hautakuwa na uhangaikaji wa kusafirisafiri kufatilia clearance ya mzigo wako. Kwa maswali zaidi check page yetu ya FAQs (www.kalumbilo.co.tz/faq.html)
 
Hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.

Mkuu kuna mrembo mmoja wa Kijamaica nataka kumchumbia....mnaweza kunilipia mahali online na mkashughulikia taratibu za forodha nisubiri tu mke bandarini? Natanguliza shukrani!
 
Mkuu kuna mrembo mmoja wa Kijamaica nataka kumchumbia....mnaweza kunilipia mahali online na mkashughulikia taratibu za forodha nisubiri tu mke bandarini? Natanguliza shukrani!
Hahaahaaaa!! Asante mkuu ngoja tufanye upembuz yakinifu juu ya huduma hiyo mpya
 
hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.

vitu vya kuanzia kiasi gani(ghrama)?
 
Hahahaaaaa!!!… asante bwana supersami kwa appreciation. Ni kweli mimi mmoja wapo, karibu na pia nashukuru kwa kututangaza. Tunawakaribisha wote kweny kampuni yetu ya kizalendo. Najua wengi humu mnaweza kununua online, ila ukitingwa na shughuli zako basi tupe kazi tukufanyie. Malipo yetu ni kidogo tu. Nawakaribisha wote.


Usanii.com

Halafu kichwa cha habari na content tofauti.....

Mnajua kujitekenya na kucheka wenyewe!!!
 
Mkuu kuna mrembo mmoja wa Kijamaica nataka kumchumbia....mnaweza kunilipia mahali online na mkashughulikia taratibu za forodha nisubiri tu mke bandarini? Natanguliza shukrani!

TEHTEH..
You are what you think. With your thoughts you make the world.
 
TEHTEH..<br>
<font size="2"><strong>You </strong></font><font color="navy"><strong><span style="font-family: Arial"><font size="2">are what you think. With your thoughts you make the world.</font></span></strong></font>
<br>
<br>Tyta ndugu...ikiwa unaagiza gari naunaachia taratibu zote watu wa Clearing na siku ikifika unaenda kuweka tu saini na kuchukua gari inashindikana vipi kuipa zabuni kampuni pepe jukumu la ku procure mke, kuweka mshenga, kulipa mahari, kushughulikia visa na tiketi, kumleta, kushughulikia masuala ya uhamiaji, kwenda kwenye mamlaka iliyopewa legal power kufungisha ndoa, wakanifungia ndoa kisha mimi nikaenda kuchukua tu mke? Embu waza katika 3D!
 
TEHTEH..
You are what you think. With your thoughts you make the world.

Tyta ndugu...ikiwa unaagiza gari naunaachia taratibu zote watu wa Clearing na siku ikifika unaenda kuweka tu saini na kuchukua gari inashindikana vipi kuipa zabuni kampuni pepe jukumu la ku procure mke, kuweka mshenga, kulipa mahari, kushughulikia visa na tiketi, kumleta, kushughulikia masuala ya uhamiaji, kwenda kwenye mamlaka iliyopewa legal power kufungisha ndoa, wakanifungia ndoa kisha mimi nikaenda kuchukua tu mke? Embu waza katika 3D!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom