Nahitaj mtu ambaye anahusika na kuandaa trip kwa ajili ya watu mbalimbali.
Trip itakua ya watu 50 kutoka dar kwenda Serengeti.. nahitaj bei na maximum time ya kukaa ni siku tatu yani moja kwenda nyingine kutembelea hifadhi na ya tatu kurudi
Nina gari za kukodisha maalumu kwa ajili ya utalii (war buses) Land Rover &Land Cruiser! Ila kwa bahati mbaya trip ya Dar-Serengeti ni parefu bora na gharama zake zitakuwa kubwa...km huwezi panda ndege nashauri mtafute Coaster walau2 kwa hao watu 50!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.