Kama Jesus alipigwa picha wakati huo basi technology ya camera, ilianza zamani sana!
Wakristo wengine na watu wengine wa dini zile zingine, ni kweli ni watumwa wa dini zao!
Kulikua na mchoraji mmoja mzuri sana baada ya Yesu, akawakusanya wazee wengi wa zamaniHao FBI wanapochora hiyo michoro huwa na source ya mfananisho wao
Hukusanya mashahidi waliokuwepo kwenye tukio, pamoja na viashiria vyengine kama mabaki ya nywele nakadhalika
Sasa hayo ya Jesus walifuata chanzo gani hata kufikia kwenye sura hiyo inayoonyeshwa hapo?
Kulikua na mchoraji mmoja mzuri sana baada ya Yesu, akawakusanya wazee wengi wa zamani
waliomuona Yesu na kumpa mafananisho unayoyataka na akamchora kama alivyo
Mimi ni mkristo pure, lakini siku zote naipinga hiyo picha kwa sababu kuu hizi:.......
Tunajua wewe hupendi ndiyo maana huwa unaleta nyuzi za ajabu ajabu humu ndani. Leo tuliza mupepo yako uombewange na Boflo.Munapenda mudini sana
2. Huwa nawauliza kwa mfano ingetokea Steven Kanumba angepata bahati ya kuekti movie ya Yesu kwa mara ya kwanza , je picha ya Kanumba ndiyo ingekuwa ikitumika makanisani?
Mkono mtupu haurambwi
Lete source ya maelezo yako
Besides, picha za kwanza za Jesus hazikuwepo hadi karne kadhaa baada yake
Na zinatofautiana mno na hiyo uliyoiweka leo
Au ndio anakwenda akibadilika.....
Becoming hipper and more angelic as time goes?
Hii ni picha ya Yesu inayosemekana kuwepo mwaka 1508
Na hii nyengine inasemakana ni ya mwaka 705
Mkono mtupu haurambwi
Lete source ya maelezo yako
Besides, picha za kwanza za Jesus hazikuwepo hadi karne kadhaa baada yake
Na zinatofautiana mno na hiyo uliyoiweka leo
Au ndio anakwenda akibadilika.....
Becoming hipper and more angelic as time goes?
Hii ni picha ya Yesu inayosemekana kuwepo mwaka 1508
Na hii nyengine inasemakana ni ya mwaka 705
Na huyu hapa wa mwingine;