Kwani toto ni nini?
Toto zuriiiiiii!!!
Miafrika bana. Tunapenda Kila kitu cha mzungu. Nywele z wazungu. Ukienda salon picha ni za wazungu. Ukienda wamoonsha michezo picha za wazungu.
We jamaa umepost toto la kizungu
Hii mental slavery mpaka ln.
Usiwe na wasiwasi hayo ni mahaba!
Sisi waafrika hatuna ubaguzi wa rangi na hicho ndicho kitu pekee ambacho tumewapita wazungu!!
Mashalwah
Unganishia kwenye za wenzako maana hata mi cjui