Toto la kisukuma wallah

selo pia kulimpenda

Bahati mbaya tu ni kale ka-boyfriend ka mamissTZ Victor(alikuwa na Nasreem akahamia kwa Miriam sijui sasa atahamia kwa Genevieve?) ndio alieanzisha ugomvi nakuvunja vitu vya watu baada ya kuitwa mwanaume kama binti.
 
Wanawake bana!! Ombeaneni mema kwa angalau siku moja tu!!!

Ok ok lakini mlachake unaangalia na hali halisi iliyopo.
Kama Lundenga angekuwa anatupa vitu vya uhakika hatuna tatizo lakini choice zake sijui huwa anazitoa wapi na ndio maana tukifika kwenye miss world hatuonekani .
uwe na weekend njema
 
Ok ok lakini mlachake unaangalia na hali halisi iliyopo.
Kama Lundenga angekuwa anatupa vitu vya uhakika hatuna tatizo lakini choice zake sijui huwa anazitoa wapi na ndio maana tukifika kwenye miss world hatuonekani .
uwe na weekend njema

Nipondeni tu. lakini ushindi nitapata
 
.....
IMG_0714.JPG

Mimi napenda kifua kiwe na matiti ya kuzewa kujaza mkono wangu nikishika, soooo hapa namwona si kitu
 
Back
Top Bottom