The wailer
Member
- Apr 18, 2013
- 12
- 1
Club soka ya toto africa imeshuka daraja na mm binafsi nimefurahi kutokana timu hii kuwa kikwazo kwa simba
Club soka ya toto africa imeshuka daraja na mm binafsi nimefurahi kutokana timu hii kuwa kikwazo kwa simba
Kwani huko mwanza hakuna matajiri, utasikia mara timu imelala njiani
ishuke na ife huwa inafikiri ligi ni kucheza na simba tu.
Kwani huko mwanza hakuna matajiri, utasikia mara timu imelala njiani
matajiri wa mwanza wote wako simba, halafu hii timu iko na connection na CCM wakati Mwanza ni stronghold ya CHADEMA, kushabikia toto ni kufurahia umasikini ulioletwa na CCM.
Ondoa siasa hapa, hili ni jukwaa la michezo. Pamba SC ni tawi la Simba, iko wapi, sasa hawa matajiri wa Simba hapo Mza wanafanya nini? Au wameugua Libolo fever!
club soka ya toto africa imeshuka daraja na mm binafsi nimefurahi kutokana timu hii kuwa kikwazo kwa simba
Ishuke na ife... huwa inagawa points 6 za bure kwa Yanga kila msimu
Club soka ya toto africa imeshuka daraja na mm binafsi nimefurahi kutokana timu hii kuwa kikwazo kwa simba
Hivi timu zinashuka 2 au 3? Kama ni 3 hakuna ubishi, African Lyone, Polisi Moro na Toto Africans zimeshuka daraja. Endapo timu 2 zinashuka Toto Africans si mojawapo, zinashuka African Lyone na Polisi Moro. Toto watawafunga Ruvu Shooting Kirumba wakati Wagosi wa Kaya wakiisulubu Polisi Moro pale Jamhuri. Subiri May 18 uone utabiri ukitimia.
Zinashuka tatu.
:A S 103::A S 103:Ondoa siasa hapa, hili ni jukwaa la michezo. Pamba SC ni tawi la Simba, iko wapi, sasa hawa matajiri wa Simba hapo Mza wanafanya nini? Au wameugua Libolo fever!