GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,694
- 109,130
Katuchambisha la Kwanza na ilikuwa kidogo tena atuchambishe na la Pili sema Babu nae alikuwa anajitahidi Kutuokoa.
Mwambieni Inonga kuwa nina Taarifa za ndani kuwa anataka kuondoka Simba SC kwa Kuzuga anaenda Ulaya kisha baadae anahamia kwa Wanaoenda Kumnyoosha vilivyo Mamelodi Sundowns FC leo Usiku.
Hivyo basi asitukomeshe sana na kwa Makusudi kutuharibia ( kutuchambisha ) kama alivyotufanyia leo.
Mwambieni Inonga kuwa nina Taarifa za ndani kuwa anataka kuondoka Simba SC kwa Kuzuga anaenda Ulaya kisha baadae anahamia kwa Wanaoenda Kumnyoosha vilivyo Mamelodi Sundowns FC leo Usiku.
Hivyo basi asitukomeshe sana na kwa Makusudi kutuharibia ( kutuchambisha ) kama alivyotufanyia leo.