kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Tosha na airtel umeshinda milion 50 000 000 pamoja na pikipiki aina ya yamaha cc175 wasiliana nasi kwa hii namba +255686113730 Ahram.
===
wadau nimetumiwa sms kutoka kwenye hiyo namba.
Nilipiga # hiyo nikaambiwa nimeshinda hizo zawadi;
nikaulizwa ninaishi wapi?
nikajibu: Dar.
...nikaambiwa leo kutakuwepo sherehe pale Diamond Hall, kwa ajili ya kukabidhi zawadi kwa washindi na mimi nikiwa mmoja wa washindi wa Airtel leo..., natakiwa kutuma majina yangu yote na # za kitambulisho, eneo ninalo kaa.
ili wafanye mpango wakunikabidhi hizo zawadi!
===
Nimewapigia Airtel huduma kwa wateja! hawapokei...
===
.!!!YATOSHA!!!
===
wadau nimetumiwa sms kutoka kwenye hiyo namba.
Nilipiga # hiyo nikaambiwa nimeshinda hizo zawadi;
nikaulizwa ninaishi wapi?
nikajibu: Dar.
...nikaambiwa leo kutakuwepo sherehe pale Diamond Hall, kwa ajili ya kukabidhi zawadi kwa washindi na mimi nikiwa mmoja wa washindi wa Airtel leo..., natakiwa kutuma majina yangu yote na # za kitambulisho, eneo ninalo kaa.
ili wafanye mpango wakunikabidhi hizo zawadi!
===
Nimewapigia Airtel huduma kwa wateja! hawapokei...
===
.!!!YATOSHA!!!