TOPIC: Hivi ni kweli wakurya....

TOPIC: Hivi ni kweli wakurya....

Wisest man

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
993
Reaction score
332
Kuna watu wanasema wakurya ni watata sana, wanasema mkurya anaweza akamchinja mtu! ila huku kwetu tunakaa na wakurya na wanaonekana wapole sana sasa huo ukali wao unatoka wapi?au kuna wakurya wakali na wapole?
 
Mtanganyika wa wapi wewe?

kuangaliana kwa makabila ilikua enzi za Mkwawa,Mangi Sina,Kinjekitile ngwale n.k
 
We achana na muraaaa!!! Kwao hainaga rongo rongo nyekundu nyeusi nyeusi.
 
jamani sio wakurya wote ni wakatili bali ni baadhi tu na wapo wengine ni wapole
 
Sisi wakurya hatuna ujinga ujinga wa kubembelezana na kubebanabenana. Asie fanya kazi na asile.
Kuna watu wanasema wakurya ni watata sana, wanasema mkurya anaweza akamchinja mtu! ila huku kwetu tunakaa na wakurya na wanaonekana wapole sana sasa huo ukali wao unatoka wapi?au kuna wakurya wakali na wapole?
 
kamwage trei zao za mayai kule banana-ukonga utapata majibu ya maswali yako,,,,,,,,,ila mpaka uwachokoze ndo wanakufundisha adabu.cc Mtambuzi
 
Last edited by a moderator:
Ndio mana kule Mara hakuna uchawi, ikiwa mbaya ni mbaya ni hiyo ni sera nzuri,tatizo nyie mnaichukulia ni ukorofi...
 
Wakurya ni watu wapole na wastaarabu sana kama hujawachokoza
Ukishaleta uchikozi tu hapo ndio utakiona.
Ila wapo ambao ni wastaarabu tu hata wakichokozwa ila si wengi
 
Mstarabu,Mpole,anapenda marafiki, mnyenyekevu kwa wenzake ,hana dharau kwa wengne..
Tatizo usimuonee wala kumchokoza kukujeruhi hataona hatari.Hata kama ni mdogo hapendwi kuonewa na mtu yeyote iwe anamzidi umri au la atakujeruhi tu., Ila kuna walio wapole sana na hawana hasira hasa waliolelewa mjini hao wanaitwa "wakurya jina" ila wa kule interior ndio Sumu.
 
sio wakurya ni karibu makabira ya mkoa wa mara Wakiwemo wazanaki,waikoma,nk usijidai wewe mjanja utakiona
 
Back
Top Bottom