Wisest man
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 993
- 332
Kuna watu wanasema wakurya ni watata sana, wanasema mkurya anaweza akamchinja mtu! ila huku kwetu tunakaa na wakurya na wanaonekana wapole sana sasa huo ukali wao unatoka wapi?au kuna wakurya wakali na wapole?