Top ten yangu kwa uvivu

Hii zamani sana kabla sijanunua mtu wa kunichagulia boxer ya kuvaa kila siku na ndio mhusika mkuu kuhakikisha naivua kila siku.

Natumai umebadilika sasa....
 
Ha ha ha haaah,,,,,,,,,wewe nadhani mpaka sasa bado ni mvivu.
 
Mkuu jaribu kua mvivu kwenye Kula au haja kubwa
 
Vipi maswala yetu ya kikubwa hua unamaliza kwel? Au unaishia kulala kwenye kifua cha wife?
 
Mkuu jaribu kua mvivu kwenye Kula au haja kubwa

Mkuu umenikumbusha kitu niliwahi kunya ofisini kwa headmaster baadaya kuona uvivu kwenda chooni, nilikamatwa na mlinzi ilibidi kumhonga elfu thelathini asiuze news.
 
Dear Honestly Hii si bure bali ni Pepo sugu...if its true what you wrote definetly you need a serious help .. And the person will cast out your demons must be Fasting for 40 days with prayers.. . Uwii God help us.. Mkeo ana moyo..duuh.. Thanks..
 

Ungekuwa mvivu kwa kiasi hicho usingeweza kuandika habari ndefu kiasi hiki....hujavunja rekodi wala nn, ila asante kwa kuchangamsha jukwaa.
 
Dear Honestly Hii si bure bali ni Pepo sugu...if its true what you wrote definetly you need a serious help .. And the person will cast out your demons must be Fasting for 40 days with prayers.. . Uwii God help us.. Mkeo ana moyo..duuh.. Thanks..

teh teh teh...nimeona uvivu kucheka.,nimebaki natabasamu tu!
...thanks!
 
yani hapo ni zaidi ya uvivu.
hata kwenye record ya dunia umepita kiwango.
 
TV nane? Hicho chumba ni zaidi ya ukumbi wa Disko au bar.Sipati picha mandhari yake inavyokua usiku.
 
TV nane? Hicho chumba ni zaidi ya ukumbi wa Disko au bar.Sipati picha mandhari yake inavyokua usiku.

Mkuu umeufumua uzi wa zamani, sasa nikihojiwa kwa upotevu wa makontena utajibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…