brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
aisee kwa hiyo hamna hata mmoja anakukosha awepo jukwaani hapo?Sijaona bado....
Only my man...ndo ananikosha...aisee kwa hiyo hamna hata mmoja anakukosha awepo jukwaani hapo?
naye pia anaimba au??Only my man...ndo ananikosha...
Aku haimbi....naye pia anaimba au??
kwa hiyo wote hao hamna hata mmoja anakukosha awapo jukwaaniMbona mi hakuna anayenivutia hapo
Umeshaambiwa wanawavutia wanawake. Ukishaspecify jinsia pinzani manake ni kinachovutia zaidi ya perfomancekwa hiyo wote hao hamna hata mmoja anakukosha awapo jukwaani
DaaahHao wotee hawamfikii Cyril kamikaze aisee Mungu anaumba jamaniView attachment 393703
wewe kama sio mdau wa kuruka viwanja vitu kama hivi huwezi ukavijua, ila kwa mtu ambaye anafatilia huwa ana waona hawa dada zetu wanavyopagawa hawa wadau niliowataja wakipanda jukwaani kukinukishaMwanaume kuongea kuhusu wanaume wenzio wanavyovutia tukueleweje?
soma vizuri heading na sio kukurupuka na kuandika utumboMwanaume kuongea kuhusu wanaume wenzio wanavyovutia tukueleweje?
Mkuu ni wakiume lakini ni wadar!Hivi alieleta hii habari ni wa kike au Kiume jamani!
Naomba Top 10 ya wasanii1iamond platnumz AKA simba
View attachment 393561
2:Ali kiba
View attachment 393562
3:Christian Bella AKA king of the best melody
View attachment 393563
4:Yamoto Band
View attachment 393564
5:Ommy Dimpoz
View attachment 393565
6:Blue Byser
View attachment 393566
7:Barnaba
View attachment 393567
8:Bob Junior
View attachment 393569
9:JUX
View attachment 393571
10:Ben Paul
View attachment 393572