wadau ifm ina tatizo gani???
muulize aliyetaka kuifananisha UDSM na IFM
muulize aliyetaka kuifananisha UDSM na IFM
ndio nilimlenga sana ila kaamua kunyamaza ila kwanini Ifm ndio inaoneka kihvyo??
sure! UDSM itabaki juu tu.
Miaka tunasoma sisi chuo kikuu kilikuwa kimoja tu..hivi vingine naviona kama shule za kata!
Mfano wa coz za ajabu ni zipi??unakuta watu ka nyie mnaona sifa kuwa udsm na wkt mnasoma coz za ajabu ajabu 2.
Hii sosi sio rilayabo, zis kant bi, Hubert kairuki ya pili1 University of Dar es Salaam
2 The Hubert Kairuki Memorial University
3 Sokoine University of Agriculture
4 The University of Dodoma
5 Mzumbe University
6 Ardhi University
7 International Medical and Technological University
8 Mount Meru University
9 St Augustine University of Tanzania
10 St. John's University of Tanzania
11 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
12 The State University of Zanzibar
13 Tumaini University
14 Teofilo Kisanji University
15 University of Arusha
16 Muslim University of Morogoro
Source: Top Colleges & Universities in Tanzania | University Web Rankings
Mfano wa coz za ajabu ni zipi??
jibu wewe unayetaka kutofautisha udsm na ifm.....
kwa kutoa digrii kwa vilaza..
nitakuandikia collages za course zote zilizopo humo ujue ni miyeyusho,kwa kuanza na cass,conas,duce,muce,udse,udbs na collages ambazo zina respect ni coet na coict hapa uclas na muchs zilikuwepo miongoni mwa hizi zenye heshima ila kwa kuwa wamejitoa basi heshima ya chuo cha udsm ipo coet na coict.
Wewe umekaririshwa maneno ya watu wa kitaa. Ngoja nikuulize....
Chuo kipi bora hapa Tanzania kwa kusomea Programs za Arst And Social Sciences? Utagundua ni UDSM ndio kinafundisha vizuri. Sasa kama ni hivyo kwanini hadhi ya CASS unaishusha? Huwezi kuilinganisha CASS na colleges nyingine za arts hapa TZ. Labda kwenye courses za ualimu ndio unaweza ukawa right.
me mwenyewe nko udsm bt kwa hli napingana na wewe.chukua mtu wa udbs let say anaesoma account afu kamlinganishe na mtu anaesoma account sehemu ka cbe,iaa au ifm uone ka wana tofaut,hvo hvo kule cass kawalinganishe na machalíi wa mzumbe udom uöne ka wana kipya.ukwel,udsm 2nabebwa kwa kiac kikubwa na coet na coict.over