Top 5 ya urais 2015


We panga kwa nchi mkuu, sio kwa vyama.

Binafsi ningependelea kama ifuatavyo.
1) Dr. W. P. Slaa
2) F. A. Mbowe
3) H. Mwakyembe
4) Shark
5) Shark
 
tuletee ww ambaye hana dini kabisa kwani no 1 mpaka 5 wote wanadini zao hakuna kati yao mpagani mengineyo ni chuki zako zisizo na mashiko na ww ndu mdini kwani ss hatuhitaji kujua dini zao kwetu hazina faida.

hao hawasafishiki muanze kufikiria watu wengine
 
Top 5 ya urais 2015

1. Sheikh Farid
2. Maalim S. S. Hamad
3. Prof. Safari
4. Alhaj Juma Duni Haji
5. Ponda Issa Ponda
 

Hayo ni mawazo yako na ndio mtizamo wako ila nakushauri kwa lowasa afai kuwa raisi wetu na hizo sababu unazo zisema hata dk slaa anaweza kuwa nazo tena zaidi ya hizo kwa sababu navyo mjua doctor kwa maamzi yake lowasa afuati hata kidogo
 
Hili ndo kubwa haya mengine ni siasa tu. Kuainisha vipao mbele vya Kitaifa naona ni muhimu sana ili rais yeyote toka chama chochote atekeleze vipao mbele hivyo. Hata wagombea wa urais washindanishwe na kupimwa kwa hivyo.
 
Mkuu, Nadhan ulimaanisha hv

.
  1. Dr W. Slaa
  2. Mh. F. Mbowe
  3. Mh. Tundu Lissu
  4. Mh. John Magufuli
  5. Mh. Edward Lowassa

NB; Masharti na vigezo (vya katiba) vimezingatiwa...
 
Tpo 10 yangu mimi ni hii hapa:-
1. Rais-STEVEN WASSIRA ANAYESINZIA SINZIA KILA MARA KAMA MLEVI WA GONGO
2.Waziri Mkuu-RIDHIWAN KIKWETE ili alinde maslahi ya MZEE VASCO DA gama
3.Makamu wa Rais-SULEIMAN KOVA
4.Waziri wa Fedha, Madini, Utarii na Benki za Nje-ANDREW CHENGE (Vijisenti)
5.IGP-Atakuwa RPC YULE WA IRINGA ALIYEMWUA MWANGOSI
6.Waziri wa Wizara Mpya ya RICHMOND-EDWARD LOWASSA
7.Katibu Mkuu Kiongozi-YULE EKELEGE ALIYEONDOLEWA TBS KWA RUSHWA
8.Mnikulu-NAPE NNAUYE
9.Rais wa Zanzibar-SHEIKH PONDA
10.Makamu wa Rais Zanzibar-SHEIKH FARID WA UAMSHO.
Kama unaweza njoo na orodha yako na wewe
 
hapo kwenye red, sharti mojawapo la katiba ya nchi ni kuwa na angalau degree moja.


Hao wenye degree si ndo hao ambao wanaingia mikataba ushuzi ambayo hata mtu anaesoma form 1 mpaka form 4 kwa miaka miwili hawezi kuipitisha.

Au wengine si ndo wale waliosema wanafunzi wa kike kupata mimba ni vihelehele...
 
Ona tunavyohangaika na majina sasa, bora Kigwangalla aliyeamua kuweka wazi nia yake ya kugombea Urais 2025 tuanze kumpima na kumtazama mwenendo wake ili wakati ukifika tu tunamkabidhi kazi kuliko hawa wanaokurupuka
 
Membe Muuza suru kama kiranja wake afadhali hamjamweka.

Tunataka Raisi kauzu this time apige deki nyumba manake Jamaa kaichafua hakuna mfano. Hili Genge la wezi litasafishwa na Raisi ambaye atakuwa amechaguliwa na umma na si rais aliyewekwa na mafisadi kama nani nani. Lowasa after Candidates wa Chadema anafaa kwa sababu tu anaweza kusimama imara na hakuna gamba litakaloweza kumyumbisha manake yeye ni baba la magamba. Akiweza kufutilia mbali huu utititri wa vijimagamba basi maybe anaweza kuleta changes.

Chadema tusije tukakosea eti kwamba akisimama Lowasa ndo njia imekuwa laini. Huyu anakubalika sana msimdharau kwanza ndiye candidate ambaye atatusumbua kuliko wote. Akisimama Membe hapo ndo njia nyeupe tambarare sasa.

Ni Mtizamo tu wa kiona mbali
 
ile kesi ya kupora mke nadhani itakuwa imekwisha na atakuwa amerudiana na rose

Mtu mzima anaporwa au anajipeleka mwenyewe. Dr. ana mapungufu kama binadamu lakini uchi wake siyo unaongoza bali ni kichwa chake , na nahisi kama atakuwa Rais wa Tanzania atakuwa raisi wa pili kuwa na wanawake wachache baada ya Mwalimu
 

like it mkuu! Very gud say
 
Tusidanganyane kama kweli tunataka tupate Rais bora anayefaa ni Prof Lipumba ili ajenge Uchumi utakaotoa ajira na kuleta Neema kwa Watanzania wote.Tumpe kura Prof Lipumba aongoze Tanzania
Uhitaji wa Tanzania kwa sasa sio tu kukua kiuchumi, yapo mambo mengi including kudhibiti ufisadi na kuhamasisha uzalendo. Ningeendeleza list, I think Lipumba angekuwa namba 6...

Hakuna Zitto wala Membe
Zitto - katiba haimruhusu
Membe - Hana uwezo (kwa maoni yangu)


Ni ngumu sana kwa CCM kumweka mtu ambaye hana kundi kwa sababu wagombea wa CCM wanawekwa na makundi yenyewe. So, mtu asiye na kundi ina maana hana wa kumteua

Mkuu, Nadhan ulimaanisha hv

Hapana mkuu... Kwangu Lowassa ni better than T. Lissu


Pamoja na historia yake nzuri ya utendaji, Lowassa anamalizwa na historia yake ya kujenga makundi na mitandao inayoshirikisha mafisadi kwa kutumia fedha. Wasiwas hapa ni kuwa, akiwa raisi hatakuwa clean enough kudeki ufisadi.
 
Kazi kweli kweli na TINDU LISSU? If being that the case, why not SUGU, LUSINDE or LEMA?
 
Yeyote atakayesimamishwa CCM , CDM hawataona ndani kelele tu zimewazidi.
 
As for me, Lowassa akisema anagombea kwa tkt ya CCM ntampa kura yangu. apart from him bado sijaona. hao wengine wanaitaji kuwa chini ya mtu in order wafanye kazi vzr. zaidi ya hapo ntampa mgombea wa chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…