LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,481
- 36,632
Hii ni orodha ya nchi za kiafrika ambazo raia wake wapo smart sana katika mambo wanayo yafanya. Wanajulikana, kuheshimika na ama kuogopwa sana katika mataifa mengi ya kiafrika na yaliyo nje ya Afrika...
1. Nigerians.
2. Congolese people ( DRC)
3. Ghanaians
* Ningewaweka wa egypt kwenye nafasi ya tatu, but i consider them to be middle easterns and not Africans per se.
* Ghanaians are smart kwa sababu ya influence ya wanigerians. Wana waiga sana wanigeria and all that...
TANZANIA hatujulikani kabisa. Kuna watu wapo mozambique hapo but they dont know any thing about Tanzania zaidi ya kujua kuwa Tz ina share border na nchi yao upande wa kaskazini... Hii ni aibu sana, licha ya kuwa na vivutio vikubwa vya utalii kama vile mlima kilimanjaro, maziwa makubwa na mbuga za wanyama, stil taifa letu halijulikani.. Mwezi uliopita nikiwa Lome, Togo, niliwa interview watu kama kumi na mbili (informaly) kuwauliza if they know anything about Tanzania, wengi wao wanasema wanaijua tu kwa sababu ya herufi T, Togo na Tz zote zinaanzia na herufi T. Ninapata uchungu sana kuhusu nchi yangu. Watu hawamjui hata mtu mmoja maarufu kutoka Tanzania? iwe mwanamuziki, mfanyabiashara, mwanaharakati au kiongozi wa kisiasa? what is wrong with us?..
Nikiwa Kampala, Uganda nilimuuliza mwenyeji wangu mmoja ambaye amewahi kukaa Tanzania kwa miaka minne, akisoma pale UDSM, kama kuna hata mtaa unaoitwa Nyerere hapo Uganda, he said he dont know, nikamuuliza " Do you know Nyerere? " akajibu " YES WHY NOT?!!!" Nikavimba kichwa, wow! kumbe kiongozi wangu anajulikana..Then nikamuuliza what do u you know about him ? .. Akajibu : " I know him as a man who died in 1999, and that he copied Ujamaa Village Policy from China and prove failure! I was so so disapointed!
1. Nigerians.
2. Congolese people ( DRC)
3. Ghanaians
* Ningewaweka wa egypt kwenye nafasi ya tatu, but i consider them to be middle easterns and not Africans per se.
* Ghanaians are smart kwa sababu ya influence ya wanigerians. Wana waiga sana wanigeria and all that...
TANZANIA hatujulikani kabisa. Kuna watu wapo mozambique hapo but they dont know any thing about Tanzania zaidi ya kujua kuwa Tz ina share border na nchi yao upande wa kaskazini... Hii ni aibu sana, licha ya kuwa na vivutio vikubwa vya utalii kama vile mlima kilimanjaro, maziwa makubwa na mbuga za wanyama, stil taifa letu halijulikani.. Mwezi uliopita nikiwa Lome, Togo, niliwa interview watu kama kumi na mbili (informaly) kuwauliza if they know anything about Tanzania, wengi wao wanasema wanaijua tu kwa sababu ya herufi T, Togo na Tz zote zinaanzia na herufi T. Ninapata uchungu sana kuhusu nchi yangu. Watu hawamjui hata mtu mmoja maarufu kutoka Tanzania? iwe mwanamuziki, mfanyabiashara, mwanaharakati au kiongozi wa kisiasa? what is wrong with us?..
Nikiwa Kampala, Uganda nilimuuliza mwenyeji wangu mmoja ambaye amewahi kukaa Tanzania kwa miaka minne, akisoma pale UDSM, kama kuna hata mtaa unaoitwa Nyerere hapo Uganda, he said he dont know, nikamuuliza " Do you know Nyerere? " akajibu " YES WHY NOT?!!!" Nikavimba kichwa, wow! kumbe kiongozi wangu anajulikana..Then nikamuuliza what do u you know about him ? .. Akajibu : " I know him as a man who died in 1999, and that he copied Ujamaa Village Policy from China and prove failure! I was so so disapointed!