Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,107
- 1,249,096


chukua zote tu maana sms hizi zimeniongezea maadui wa kwanza ni hanceRafiki unipunguziage hizo meseji.


chukua zote tu maana sms hizi zimeniongezea maadui wa kwanza ni hanceRafiki unipunguziage hizo meseji.
Hahahaaa. Yabidi nizibebage uanze upya kwa kweli.chukua zote tu maana sms hizi zimeniongezea maadui wa kwanza ni hance


choriii choriiii










Tulia dawa ikuingie.Bora nyani Ngabu na Mshana Jr posts zao zinamaana kuliko hao wengine wanaoshinda makapuku na Uzi wa kupeana likes.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Yabidi nizibebage uanze upya kwa kweli.
Haya ndio maneno sasa rafiki.😂😂Na likes chukuaaa yaan vyote vyako best angu mpendwa











kweli nyan haoni kunduleJamani hii akaunti ni ya kaka.Tubadilishane, nitajidaije!!!!



Lengo letu kuandika humu ni kuelimisha jamii na labda kufichua yanayofichwa ili jamii itoke ndani ya chungu cheusi , si lengo letu kushindana na mtu yeyoteMchuano ulihusu members waliotuma meseji nyingi kuliko wengine
Matokeo ndiyo hayo umeshika nafasi ya 14. Bravo to you!
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂😂😂Jamani hii akaunti ni ya kaka.
Unataka uone makorokocho ya kaka ??
Cha kusikitisha ni kwamba hata mimi mwenyewe sioni kama nimeandika mara ngapi wala sijui , lakini huu ni uthibitisho wa kumiliki ID moja tuUmewezaje kufikisha message zote hizo tupe siri ya urembo kama hutojali jamaa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana kila post, kila Uzi lazima aonekane Sasa hiyo maanake Nini?!!








Wewe hunioni kabisa ???
Nitaaminije sasa![]()