Top 10 most beautiful mosques


kwahiyo upo msikiti kati ya hiyo wenye uwezo wakuchukua watu million 4 hapo??? au million 1 ndo 4.
 

Aksante kwa kunifahamisha natumai kuna kitu wenzangu wamejifunza pia..
 
kwahiyo upo msikiti kati ya hiyo wenye uwezo wakuchukua watu million 4 hapo??? au million 1 ndo 4.

Pamoja na andishi aliloweka dada FF kuonyesha wazi kuwa kwenye list ya top ten mosques, msikiti namba moja unaweza kubeba watu million4 bado unakuja kuniuliza mimi? Kwenye maelezo ya uzi angalia Namba1. Badala ya kuisoma thread na kuelewa yote unakurupuka na kuja kuniuliza mimi. Pia Msikiti Namba mbili ndo unauwezo wa kuchukua watu millioni1. Soma uzi uumalize wote na uuelewe kabla ya kukurupuka kuchangia uzi na michango ya wenzio!
 
For the very first time you did impressive input in the forum! congratulations and learn how to continue to put this record perfect. FaizaFoxy

Akili ya dada@faizafox wewe huwezi kufikaa

Una dalili zote saba za mnafiki
 
Last edited by a moderator:
Akili ya dada@faizafox wewe huwezi kufikaa

Una dalili zote saba za mnafiki

Afterall, i never expect white from charcoal. Charcoal will remain black untill then.

But, did you consult your brain to observe the topic before you did character assassination?! This must be the clear meaning of iron brain. Be noted, You are dealing with high esteemed Gold brain.
 
Mkuu TECHMAN, ni kweli sielewi.
CIA ni chombo cha ki-intelijensia cha Wamarekani; so ninafahamu kuwa Marekani na ISLAMIC WORLD mahusiano si mazuri. CIA inafanya nini kule?
Uhasama kati ya christian world na Islam world ni wakutengenezwa, je unafahamu kuwa kuna waisilamu wengi sana katika CIA na hata katika majeshi ya marekani?
Ninachosema kuwa ofisi za CIA, ni ofisi za siri, misikiti hiyo inayotumika ni mojawapo ya misikiti ya zamani sana, kuna vyumba vingi ambavyo hata wakazi na watumiaji wa msikiti ni wachache sana wanavifahamu, most are underground rooms. Jua kuwa ofisi hizi zipo katika nchi rafiki na marekani
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…