Top 10 Countries with Best Modern Militaries/Armed Forces in the world..

Warusi wako juu sana kwa ishu ya siraha imara, marekani wana bajeti kubwa sana ya kijeshi lakini katika ishu ya siraha, i hope urusi bado wanatisha sana.

Na hata mkataba wa kupunguza siraha uliasisiwa na maerkani baada ya kuona amezidiwa na mrusi
 
Warusi wako juu sana kwa ishu ya siraha imara, marekani wana bajeti kubwa sana ya kijeshi lakini katika ishu ya siraha, i hope urusi bado wanatisha sana.<br />
<br />
Na hata mkataba wa kupunguza siraha uliasisiwa na maerkani baada ya kuona amezidiwa na mrusi
<br />
<br />
 
Warusi wako juu sana kwa ishu ya siraha imara, marekani wana bajeti kubwa sana ya kijeshi lakini katika ishu ya siraha, i hope urusi bado wanatisha sana.<br />
<br />
Na hata mkataba wa kupunguza siraha uliasisiwa na maerkani baada ya kuona amezidiwa na mrusi
jamaa hao ni wakali, walifika space na kurudi in the 60's wakitumia computer za less than a giga processing power (rumor has it they had 150MHz proccesors na wakafika space)duh
 
Warusi wako juu sana kwa ishu ya siraha imara, marekani wana bajeti kubwa sana ya kijeshi lakini katika ishu ya siraha, i hope urusi bado wanatisha sana.

Na hata mkataba wa kupunguza siraha uliasisiwa na maerkani baada ya kuona amezidiwa na mrusi

Wamerekani nadhani wana mkataba hata na japan wasijihusihe na mambo ya kutenegza silaha. baada ya ile hiroshima na nagsaki....... Akili za wajapan za mambo eg mambo ya robot na automation wangekuwa kwenye soko la kutengeneza silaha hata mmarekani angekuwa mteja wao.
 
Top 10 Best Modern Militaries/Armed Forces
Who do you think are the top 10 best Militaries/Armed Forces in the world? In other words if each country was to go in an all out war with each other, one on one, who would win the most times? And I mean army, navy, air force, special forces, ect. and not so much on nukes. Think about technological capabilities, population and country size, ect.​
Here are mine;​
1. United States
2. Russia​
3. China​
4. India​
5. United Kingdom​
6. France​
7. Germany​
8. Japan​
9. Brazil​
10. Pakistan​
Obviously United States owns the competition. No military comes close anymore. Russia obviously comes next, with a large geographic size, okay population, and high tech weapons from the old Soviet Union (although their poverty is bringing them down).​
136079.jpg
Ukraine inabidi iwepo
 
Kuna mabadiliko yoyote ?
Miaka 12 baada ya uzi mabadiliko sio makubwa kwa list, kasoro Brazil na Pakistan hazipo. Mpaka sasa sijaona wapi China anakuwa ranked ni wa pili ila mimi binafsi naiweka China ya pili baada ya Marekani then Russia inakuwa ya tatu.
Nafasi za kuanzia 6 kuendelea wanabanana ila ni vigumu Israel na Iran kuwepo top 10.
 
Back
Top Bottom