TOP 10 BEST laptops and smart phones..

TOP 10 BEST laptops and smart phones..

ooohh now nabadilika naenda nunua no 1 tu .....any dealer in town wapi tunanunua
 
Bila kuitaja Tecno phantom A+ sijakuelewa. It is extra or finally

Teh teh teh teh,inabidi watuwekee list yetu maalum ya simu za mchina za maana za bei poa lakini zosizotofautiana ktk utendaji na zenye majina
 
Wapi simu yangu Siemens S25??????
Simu imekaa tangu 1994 hadi leo inadunda na kundika.
Hizo android zenu hazivuki hata miezi mitatu batani na screen zinaacha kufanya kazi

Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !

Near by Mwanjelwa Mbeya Tanzania.
 
Waoh my HTC ONE X

Ila kizur hakikosi kasoro

Haikai na charg kabisa,,,,,,kila siku lazma uicharg!!
Hii ni HTC One na sio HTC one x

HTC One X imekuwa released 2012 na HTC one imekuwa released 2013 ziko tofauti
 
Mkuu, pia hii link uliyotoa imaonyesha HTC ONE imekamata namba moja. Kitu kikubwa kinachoifanya hii simu iwe juu, pamoja na vigezo vyake vingine ni hii Case yake ya Aluminium.
Design ya simu hii na user interface ndo inazifanya simu nyingine zisitie mguu, ingawa sikubaliani na list ya simu but htc one deserve to be in number 1.
 
Mkuu, pia hii link uliyotoa imaonyesha HTC ONE imekamata namba moja. Kitu kikubwa kinachoifanya hii simu iwe juu, pamoja na vigezo vyake vingine ni hii Case yake ya Aluminium.

Yap mkuu, sema list ya mwanzisha mada ina ukakasi kidogo kwasababu hiyo namba moja kiukwel haistahili na ukichek kamera yake inazidiwa na huawei y300
 
Back
Top Bottom