Tools and equipment needed inorder to become a web host

Michael Amon

JF-Expert Member
Dec 22, 2008
8,775
3,610
Wadau wa jamvi hili leo nimekuja ili tushare knowledge zetu kuhusiana na web hosting. Katika mada hii ningependa tuongelee zaidi kuhusu tools and equipment zinazohitajika inorder to become a web host pamoja na tools and equipment bora ambazo zinafaa kwa ajili web host ikiwemo software. Mimi navifahamu vichache lakini naamini humu ndani kuna wadau ambao wanafahamu zaidi. Ningependa tushare ideas katika hili. Nawasilishaaaaa!!!
 
  • Thanks
Reactions: HT
Kwa upande wa software mimi naifahamu the best web server software inayotumika na watu wengi duniani inaitwa Cpanel.
CPanel sio server ni Front end ya kukusaidia common tasks badala ya kuhangaika na phpmyadmin et al.
Unahitaji:
Server (hardware and software), ISP, Umeme reliable (pun intended here :))
Mengineyo specifically inategemea unataka kuhost nini aka features!
 
Wadau wa jamvi hili leo nimekuja ili tushare knowledge zetu kuhusiana na web hosting. Katika mada hii ningependa tuongelee zaidi kuhusu tools and equipment zinazohitajika inorder to become a web host pamoja na tools and equipment bora ambazo zinafaa kwa ajili web host ikiwemo software. Mimi navifahamu vichache lakini naamini humu ndani kuna wadau ambao wanafahamu zaidi. Ningependa tushare ideas katika hili. Nawasilishaaaaa!!!

Nadhani aina ya Equipment hardware itatatgemea kiasi gani unataka kuachive Relibility. na kwa harakaharaka vitu hivi vya kuzingatia

Availability/upatikanaji. Kama unataka kutoa huduama amabyo ina 99% uptime then kwenye hardware muhimu server ziwe na RAID. Vile vile muhimu kuwe na standby redundant server ili zilizo online zikizingua

Kibongobongo redundant/standby power supply kama generatator na UPS za uhakika ni muhimu

Utahitaji server/Hardware na software . Server ni software lakini kwakuwa performamce nimuhimubasi unahitaji specific hardware kwa server kama

  • Webserver. Software unaweza kuutumia Linux OS and Apache /Nginx. for free au Windows pamoja IIS zinahitaj licences… Hardware nazo utazo simika hizi software ipo za HP na IBM lakini nadhani zipoa ina nyingine kama Lightspeed

  • Databaseserver . Site nyingi siku hizi ni dynamicnataarifa zakezinahifadhiwa kwenye database .upande wa database engine MysqlServer inapatikana bure Wakati SQL server na Oracle utahitaji mshiko. na hardware maalum za kubea database engine zipo model mbalimbali za HP na IBM Mfano maybe utahitaji server zinazoruhusu clustering
  • Domain Controller. Windows server zina kitu inaitwa Active directory.Hiii ni kwaajii ya kusaiadia kufanya management ya account za user waliohost . Linux kuna kitu kinaitwa Samba
  • FTP server- Wateja lazima wawe na uwezo waku upload/Dowload files zao. Kutegema na ukubwa wa hosting yako unaweza kuhitaji dedicated server kusimika FTP au server fulani kama Domain contoller hiyo hiyo inaweza kusimikwana Software za FTP server
  • Etc .- Kuna vitu vingine vingi kama internet connetcion na mazaga zaga mengine.

Ubora wa equipment unategemeana mahitaji na huduma ya hosting unayotoka na nawalenga watu gani. Kuhost site za Media kama Youtube au Justin.tvau ustrem.tv ni tofauti na vifaa vyaku hostsite kama jamiiofurms.comau techcruch.com
Kwa databsaeserver unatakiwa kutafute sevrer zinazosupport RAID kwa usalama wa data.za user.Vileve unaweza kutakiwa kuwa na Standby/fallback database server Lakini IBM na HP na range haradardwre zinazoweza kuwa nzuri kwa high performce server niizotaja pale juu

Huko Ulaya nadhani kuna makampuni yanayotoa huduma ya datacenter amabpo mtu au shirika anaweza kupeleka server zake zikakaa pale kwa usalama zaidi au akakodi server .Administrators wakabaki kufanya managament remotely tu . matatizoya Physical security na umeme inakuwa ni wajibuwa datacenter provider .Hapa Tanzania Sijui kama kuna kampuni zinatoa hudumaya data center serivice

Altenatively Njia rahisi ya kufanya hosting ni kuwa resseller (Mtu kati)

Haya na wewe tugawie kile unchofahamu
 
CPanel sio server ni Front end ya kukusaidia common tasks badala ya kuhangaika na phpmyadmin et al.
Unahitaji:
Server (hardware and software), ISP, Umeme reliable (pun intended here :))
Mengineyo specifically inategemea unataka kuhost nini aka features!

Sijasema kuwa Cpanel ni server bali ni web server software. Pia ni zinahitajika server ngapi ili uweze kuwa web host na zitatumika maeneo gani?
 
Nadhani aina ya Equipment hardware itatatgemea kiasi gani unataka kuachive Relibility. na kwa harakaharaka vitu hivi vya kuzingatia

Availability/upatikanaji. Kama unataka kutoa huduama amabyo ina 99% uptime then kwenye hardware muhimu server ziwe na RAID. Vile vile muhimu kuwe na standby redundant server ili zilizo online zikizingua

Kibongobongo redundant/standby power supply kama generatator na UPS za uhakika ni muhimu

Utahitaji server/Hardware na software . Server ni software lakini kwakuwa performamce nimuhimubasi unahitaji specific hardware kwa server kama

  • Webserver. Software unaweza kuutumia Linux OS and Apache for free au Windows pamoja IIS zinahitaj licences… Hardware nazo utazo simika hizi software ipo za HP na IBM lakini nadhani zipoa ina nyingine kama Lightspeed

  • Databaseserver . Site nyingi siku hizi ni dynamicnataarifa zakezinahifadhiwa kwenye database .upande wa database engine MysqlServer inapatikana bure Wakati SQL server na Oracle utahitaji mshiko. na hardware maalum za kubea database engine zipo model mbalimbali za HP na IBM Mfano maybe utahitaji server zinazoruhusu clustering
  • Domain Controller. Windows server zina kitu inaitwa Active directory.Hiii ni kwaajii ya kusaiadia kufanya management ya account za user waliohost . Linux kuna kitu kinaitwa Samba
  • FTP server- Wateja lazima wawe na uwezo waku upload/Dowload files zao. Kutegema na ukubwa wa hosting yako unaweza kuhitaji dedicated server kusimika FTP au server fulani kama Domain contoller hiyo hiyo inaweza kusimikwana Software za FTP server
  • Etc .- Kuna vitu vingine vingi kama internet connetcion na mazaga zaga mengine.

Ubora wa equipment unategemeana mahitaji na huduma ya hosting unayotoka na nawalenga watu gani. Kuhost site za Media kama Youtube au Justin.tvau ustrem.tv ni tofauti na vifaa vyaku hostsite kama jamiiofurms.comau techcruch.com
Kwa databsaeserver unatakiwa kutafute sevrer zinazosupport RAID kwa usalama wa data.za user.Vileve unaweza kutakiwa kuwa na Standby/fallback database server Lakini IBM na HP na range haradardwre zinazoweza kuwa nzuri kwa high performce server niizotaja pale juu

Huko Ulaya nadhani kuna makampuni yanayotoa huduma ya datacenter amabpo mtu au shirika anaweza kupeleka server zake zikakaa pale kwa usalama zaidi au akakodi server .Administrators wakabaki kufanya managament remotely tu . matatizoya Physical security na umeme inakuwa ni wajibuwa datacenter provider .Hapa Tanzania Sijui kama kuna kampuni zinatoa hudumaya data center serivice

Altenatively Njia rahisi ya kufanya hosting ni kuwa resseller (Mtu kati)

Haya na wewe tugawie kile unchofahamu

Sasa mkuu hapo naona umebase zaidi kwenye upande wa software unaweza ukanielezea ni server ngapi zinazohitajika ili uweze kuwa web host na kila server itakuwa inafanya kazi na kila software itatakiwa kuwa installed katika server gani? Yaani kwa ufupi ninaomba uelezee mpangilio mzima wa system ya web host.
 
Sasa mkuu hapo naona umebase zaidi kwenye upande wa software unaweza ukanielezea ni server ngapi zinazohitajika ili uweze kuwa web host na kila server itakuwa inafanya kazi na kila software itatakiwa kuwa installed katika server gani? Yaani kwa ufupi ninaomba uelezee mpangilio mzima wa system ya web host.

Mkuu hiyo yote inategemeana bajeti yako.Kwani unadhani server ni hardware.???????? Server ni software. database server hiyo hiyo inaweza kuwa FTP server na hiyo hiyo hiyo hata inaweza kuwa application server. na hata Mail server.

Nimewai kuandika huko nyuma server sio hardware server ni software. Na nenos erver limetokana na neno service . Harware zinakuja kuongeza mambo ya Reliability na security na perfomance tu .

Ndio maana unaweza kuweka WAMP kwenye laptop kitachokosekena ni performance lakini functionality MYsqlser kuwakwenye laptop ni sawa inapkuwa kwenye HP Ploliant server

So sio Lazima kila server software iwe installed kwenye hardware dedicated. Nachoweza kusema kujua hardware gani utahitaji lazima uwe na plan kwanza ni aina gani ya hosting unataka kutoa ya ukubwa/udogo gani etc. Kwenye IT hakuna jibu straight kuwa this is best or this is bad. Its only after u have done a thorough analysis.

Mfano FTP server/Domain controler inaweza kuwa installed hata kwenye latop/desktop poweful na ikapiga mzigo vizuri tu.

Atleast utahitaji Minimum but not limited to three tofour server
  • Database server- Hiini critical so muhimuununuar server ya maana na maybe iwepo copy
  • Websserver - Hii nayo ni critical lakinisio kama database
  • Application servers- Service nyingine ziizobaki unaweza kuzintaall kwenye kwenye sever/PC powefull moja au mbili. Kama kwenye hosting yakou uta ofer na mail then utahitaji na mail server.But kama una pesa inatafuta matumizi basi Kila sever zitafutie hardware yake iwe ni domain controoler iwe ni FTP, mail server, copy mbili za DB server na hata copy mbili za awebserver

BTN
Mpangilio mzima naoelewa mimi nimeuleza pale juu.Nilidhani kwakuwa wewe unaufahamu tayari wa mambo haya kama ulivyoeleza umeelewa. Au wapi palipo kutatiza.Au eleza wewe unachoelewa may be kuna kitu namiss
 
Mkuu hiyo yote inategemeana bajeti yako.Kwani unadhani server ni hardware.???????? Server ni software. database server hiyo hiyo inaweza kuwa FTP server na hiyo hiyo hiyo hata inaweza kuwa application server. na hata Mail server.

Nimewai kuandika huko nyuma server sio hardware server ni software. Na nenos erver limetokana na neno service . Harware zinakuja kuongeza mambo ya Reliability na security na perfomance tu .

Ndio maana unaweza kuweka WAMP kwenye laptop kitachokosekena ni performance lakini functionality MYsqlser kuwakwenye laptop ni sawa inapkuwa kwenye HP Ploliant server

So sio Lazima kila server software iwe installed kwenye hardware dedicated. Nachoweza kusema kujua hardware gani utahitaji lazima uwe na plan kwanza ni aina gani ya hosting unataka kutoa ya ukubwa/udogo gani etc. Kwenye IT hakuna jibu straight kuwa this is best or this is bad. Its only after u have done a thorough analysis.

Mfano FTP server/Domain controler inaweza kuwa installed hata kwenye latop/desktop poweful na ikapiga mzigo vizuri tu.

Atleast utahitaji Minimum but not limited to three tofour server
  • Database server- Hiini critical so muhimuununuar server ya maana na maybe iwepo copy
  • Websserver - Hii nayo ni critical lakinisio kama database
  • Application servers- Service nyingine ziizobaki unaweza kuzintaall kwenye kwenye sever/PC powefull moja au mbili. Kama kwenye hosting yakou uta ofer na mail then utahitaji na mail server.But kama una pesa inatafuta matumizi basi Kila sever zitafutie hardware yake iwe ni domain controoler iwe ni FTP, mail server, copy mbili za DB server na hata copy mbili za awebserver

BTN
Mpangilio mzima naoelewa mimi nimeuleza pale juu.Nilidhani kwakuwa wewe unaufahamu tayari wa mambo haya kama ulivyoeleza umeelewa. Au wapi palipo kutatiza.Au eleza wewe unachoelewa may be kuna kitu namiss

Kwa uelewa wangu mimi ninavyofahamu for better performance ni vizuri kila software ikakaa kwenye dedicated server hasa zile software maalumu kama ftp, web na database ila kama ulivyosema inategemea na plan. Mpaka hapa nimmekupata na sasa tuingie kwenye upande wa software Kwa upande wangu nikianza na web server kuna software nzuri sana ambayo inaitwa Cpanel ambayo inatumika dunia nzima ingawa wengine wanatumia software tofauti kama EHCP clear OS n.k Sasa mkuu mimi ningependa kufahamu software gani ya FTP ni nzuri? Pia kama una software nyingine nzuri unazozifahamu usisite kuziorodhesha hapa.
 
Kama ilivyosemwa tayari CPANEL sio web server ni control panel tu ambayo inakupa interface rahisi badala ya kudeal na command line, web server popular kwa server za Linux ni Apache, kwa server za Windows IIS.

Hauhitaji PC zaidi ya moja kuweza kuhost website ila katika kutafuta reliability na performance ndo mambo yanakuwa complicated zaidi.
 
Kama ilivyosemwa tayari CPANEL sio web server ni control panel tu ambayo inakupa interface rahisi badala ya kudeal na command line, web server popular kwa server za Linux ni Apache, kwa server za Windows IIS.

Hauhitaji PC zaidi ya moja kuweza kuhost website ila katika kutafuta reliability na performance ndo mambo yanakuwa complicated zaidi.

Ooh! kumbe Cpanel ni control panel tu?? mimi nilijua ndio web server. Asante kwa kunielimisha hilo mkuu. Kuna web server nyingine tofauti na Apache?
 
Ooh! kumbe Cpanel ni control panel tu?? mimi nilijua ndio web server. Asante kwa kunielimisha hilo mkuu. Kuna web server nyingine tofauti na Apache?

IIS ingawa hiyo ni windows. apache ni windows na *nix
 
Back
Top Bottom