mwanamke akiwa mzuri sana atanifanya nigombane na watu wangu wa karibu... pili atanifanya nisifikirie maendeleo nimfikirie yeye tu...!!!!
Mbele ya pesa?wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Mwenye vyote awe disminder wa attention za kitoto labda itakuwa mzuka. Sasa we demu mzuri af beki hazikabi patakalika hapo? Kila anaeomba namba unampa ikiwa unajua atakutongoza tu na upo kwa uhusiano na mtu tayari kama si kujenga mtafaruku ni nini?
sasa hayo ya maana anayoyataka ndo yanatushindaga... mtu anataka nimjengee ghorofa... anataka pafyumu na nguo za washngton DC bado anakwambia mboga za majani zinamsumbuaga tumbo... hapo wewe muuza genge... kwann usijibu kwa kumuambia we mzuri..!!!Tehe!, kumfikiria yeye tu kama hawa dates wake aliwapata, mwenyewe anataka kuongea ya maana wao wamekalia kumsifia tu mpaka anaboreka.
sasa hayo ya maana anayoyataka ndo yanatushindaga... mtu anataka nimjengee ghorofa... anataka pafyumu na nguo za washngton DC bado anakwambia mboga za majani zinamsumbuaga tumbo... hapo wewe muuza genge... kwann usijibu kwa kumuambia we mzuri..!!!
Nikuambie kitu dada, wivu ni kitu ambacho kinatokeaga tu ukiwa na hisia kali na mtu umpendae. Kuna tabia ambazo huzalisha wivu automatically mfano mpenzi wako anapojiweka vulnerable kwa manyang'au. Binafsi mwanamke mzuri inabidi aijue mipaka yake sasa kama anapenda attention tu atakuumiza na wivu maana yeye atataka kila mtu amsifie wengine huishia kumtaka kimapenzi. Haiwezekani wote akawanyima pia!Usikute huko kuwa na wasiwasi sana kwenu ndo kunasababisha hata mwanamke nae asijiamini vizuri au awe na over confidence ya kuanza kuangalia nje.
Good... umefafanua vizuri. Mwisho wa siku is not about sura... lakini ni je mwanamke mwenyewe anajielewa.wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
loading error.........................
Beauty queen safi, mi nshakuwaga na demu mkali sana na nilikuwa nainjoy tu maisha bila stress. Hana makundi first anajiamini plus plus akiwa na mimi tu. Hatoi room kwa mtu yeyote baki in or out of my presence kumtongoza and very good at ignoring attention!Extrovert mnazidi kutisha wenzetu wenye ma beauty queens...lol
Unayosema ni kweli kabisa,wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Unayosema ni kweli kabisa,wapo wanawake wazuri saana tu wanaolewa..
haya mambo hayana fomula...wapo wameolewa wameolewa wametulia..na kuna wengine hawana msimamo wakitongozwa nje wanalega msimamo wao..
kutotulia na mtu mmoja na umalaya ni hulka za mtu binafsi.
ukitongozwa na hata waume kumi kwa siku waeleze tu nishawahiwa hlf unakaza msimamo unaridhika na ulienae..si basi!!!
Umeongea point sana mkuu kula like yanguKwanza wengi wazuri wazuri wana maringo sana, pili hao ukiwaoa kwa kiasi kikubwa ni stress maana bado vijana watakuwa wanacompete kumpata hata kama tayari ni mke wa mtu (hapa labda upate alotulia sio wale wengine).
Kwa hiyo hawa wanakuwa wa kuuza nao sura tu alafu unatafuta mdada mwenye sura ya kawaida ndo mke
Nikuambie kitu dada, wivu ni kitu ambacho kinatokeaga tu ukiwa na hisia kali na mtu umpendae. Kuna tabia ambazo huzalisha wivu automatically mfano mpenzi wako anapojiweka vulnerable kwa manyang'au. Binafsi mwanamke mzuri inabidi aijue mipaka yake sasa kama anapenda attention tu atakuumiza na wivu maana yeye atataka kila mtu amsifie wengine huishia kumtaka kimapenzi. Haiwezekani wote akawanyima pia!
Ndio maana nawazimiaga sana mademu independent wale wanaojiamini. Humkuti anaongozana na mashosti ama group za kijinga jinga yeye yupogo mwenyewe tu.