Ndivyo walivyo hawa bwana. Ila uzuri upo machoni pa mtu so tusiwabishie maybe wao wanamuona mbaya.Uko sawa, ni watu wamemwambia.
Haha!, Nakumbuka hizo, wakaka ni shiider! [emoji28]
Duuuuh!! Sasa mpewe nini jamani!! Wakiwa wazuri mwawatoa kasoro rundoooo, wakiwa wenzangu na mie tena taabu ndo twaambiwa tumefanana na babu zetu wazaa wajomba basi ilimradi tafrani!!!Tatizo la wanawake wengi wazuri wanakuwa Na Viburi kwa sababu ya Uzuri wao Yani ikatokea Mwanaume Hata Ukamtia Makofi mawili Tu Utasikia "wenzako Wananililia Mie" ...Madharau Mengi halafu sio wasafi sana Unakuta Anashindia maPafyumu tu Pesa Ukitafuta Malengo Yake yeye Ni Kupendeza Kwanza Kutunza Uzuri wake...
halafu wanawake Wazuri wengi Hawawezi Kujishusha KweNye Maisha Ukimwambia Apikie Kuni Kwenye Moshi Utakuta Ma Selfie Halafu Unakuta Status yake At "My Grand Pa Or At My Village " Yani Hawakubali Uhalisia Kila Cku Anataka Awe Top Rank Ya Uzuri wake
Wanawake wazuri Ni washereheshaji Tu ukitaka Uishi Naye Ukubaliane Na yote[emoji126] [emoji125] [emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha, umenchekesha eti selfie 'at my grand pa..my village'
Kunakuwa sio kwake tena. [emoji28]
Wanaume tunahitaji Mwanamke Mwenye Hekima Na mwenye Kumuogopa Mungu Anayejikeep Natural From God No,Makeup.. Means no mambo Mengi YaniDuuuuh!! Sasa mpewe nini jamani!! Wakiwa wazuri mwawatoa kasoro rundoooo, wakiwa wenzangu na mie teana taabu ndo twaambiwa tumefanana na babu zetu wazaa wajomba basi ilimradi tafrani!!!
Wanaume tunahitaji Mwanamke Mwenye Hekima Na mwenye Kumuogopa Mungu Anayejikeep Natural From God No,Makeup.. Means no mambo Mengi Yani
Wale Ni washereheshaji Tu Wa Macho But Hawafit Ndani NaSasa mbona mnaoa hao natural sijui no make up, ana hofu ya Mungu alafu mnakwenda kuchepuka na wenye hizo make up nk!!!
Wewe wasema!!Wale Ni washereheshaji Tu Wa Macho But Hawafit Ndani Na
Kuchepuka Inawezekana Ikawa ni Tabia Ya Mtu Yani Yuko Hivyo Kutokana Na Makuzi Aliyopitia Mpaka Kuingia Kwenye Ndoa
Mwanamke Akishakua na Hofu ya Mungu ni Vigumu sana Kwa Mwanaume Kuanza Kuchepuka na Hao wenye Make Up Nk'
.."father G" the Golden Boy...
Hahahahaha, hio ndio inatakiwa sio mnajitia bab kubwa eti. Ukipewa hi itikia freshi apo mpango mzimaaaa!!! Tunakubali kishenzi ila ukizingua za uso tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani mi nachekaga kimoyo moyo.
Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu, yeye mweupeee, alafu mimi cheusi mangala, sasa ile tunapita wakaanza "aaah fanta na coca hao, kitu cheupe na cheusi rangi za mvuto" mie nikacheka alafu nikawapa tu hi alafu wakaendelea kujiongelesha, cheupe hakujibu chochote wala kuwasalimia, weeeeh acha waanze kumkashifu "we cheupe weupe wenyewe wa mkorogo nawe unajifanya mzuri.....cheki mwenzio rangi ilivyotulia,mtoto rangi adimu....." Jamani tulicheka yaani kutoka kusifiwa hadi kukashifiwa. Sasa hapo tusingeitikia wote kila mmoja angepewa kichambo sawasawa na rangi yake.
WambieWewe wasema!!
Kwani hautaki mkeo ashereheshe macho yako? Mwapenda huku hampendi!!!
Ni vile tu hamjui mwataka nini.
Na mkumbuke tu hofu ya Mungu apaswa kuwa nayo kila mmoja sio mwanamke tu. Msijisahaulishe hilo.
Umemaliza kila kitu mkuu!..kuna mwenye swali jingine?.Mwanamke akiwa mzuri sana ni stress kwa kidume na hasa akiwa anapenda kuzoeana na watu bila mpangilio na mwenye mkia mnene ni hatari sana kwa ustawi wa uhusiano!
Hapo utawaza kupigiwa tu kila saa mwishowe unapigiwa kweli maana mawivu yatazidi ukomo na demu ataanza kukuona fala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani mi nachekaga kimoyo moyo.
Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu, yeye mweupeee, alafu mimi cheusi mangala, sasa ile tunapita wakaanza "aaah fanta na coca hao, kitu cheupe na cheusi rangi za mvuto" mie nikacheka alafu nikawapa tu hi alafu wakaendelea kujiongelesha, cheupe hakujibu chochote wala kuwasalimia, weeeeh acha waanze kumkashifu "we cheupe weupe wenyewe wa mkorogo nawe unajifanya mzuri.....cheki mwenzio rangi ilivyotulia,mtoto rangi adimu....." Jamani tulicheka yaani kutoka kusifiwa hadi kukashifiwa. Sasa hapo tusingeitikia wote kila mmoja angepewa kichambo sawasawa na rangi yake.
Ndivyo walivyo hawa bwana. Ila uzuri upo machoni pa mtu so tusiwabishie maybe wao wanamuona mbaya.
Yaani watakuchambua kuanzia unywele hadi kisigino, hadi upotelee cha moto umekiona.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujumbe unakuwa umekufikia kimya kimya.
Vere fani, too beautiful to get a boyfriend yet she's arleady been knocked up, she's a BIMBO if you ask me!View attachment 508053
View attachment 508054 View attachment 508055
View attachment 508029
Cherelle Neille is a single mother, working as a shop assistant and living in Manchester. And she says she’s too beautiful to get a boyfriend.
Cherelle anasema anaona wadada wenye Uzuri wa kawaida ndio wanaopata wanaume na kutulia nao lakini yeye mwenye mvuto zaidi hapati wanaume na akiwapata hawatulii nae.
Amesema angefurahia kupata mwanaume atakaye mpenda ki kweli na sio kwa Uzuri wake tu.
Amesema pia kuwa mara nyingi akipata mwanaume na kufanikiwa kwenda nae kwenye appointment (date) wanaume huishia kumsifia Uzuri wake na hawamsikilizi anachotaka kusema au kuongelea mambo ya maana. Boyfriend wake wa mwisho aliishia kumuonyesha tu kwa rafiki zake na kutaka kupiga nae picha tu.
Manchester woman says she is too good-looking to find love | Daily Mail Online
Hivi ni kweli wadada wenye mvuto wa pekee ni vigumu kupata wanaume?!
Sawa Dada Lakini Ndoa Si Ukomo Wa kila Kitu Tamaa, na Wivu Kwa Wanandoa Ni Lazima Viwepo Ila Vikizidi Ndo Uchepukaji Unaweza ukatokea Ila Wanaume Kwa Ujumla Sijui Tunataka Nini Kwenu Aisee.Wewe wasema!!
Kwani hautaki mkeo ashereheshe macho yako? Mwapenda huku hampendi!!!
Ni vile tu hamjui mwataka nini.
Na mkumbuke tu hofu ya Mungu apaswa kuwa nayo kila mmoja sio mwanamke tu. Msijisahaulishe hilo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahah!, cheupe alikuwa mrembo mara wakamgeukia kuwa rangi ya mkorogo. 😀
Bora umesema hamjui mnataka nini. Case closed.Sawa Dada Lakini Ndoa Si Ukomo Wa kila Kitu Tamaa, na Wivu Kwa Wanandoa Ni Lazima Viwepo Ila Vikizidi Ndo Uchepukaji Unaweza ukatokea Ila Wanaume Kwa Ujumla Sijui Tunataka Nini Kwenu Aisee.
.."father G" the Golden Boy...