Too Big

Je hii ni kweli ama Fiction tu, Huyo jamaa kajaa kweli kweli na msosi huo wote ataumalita tu. je yupo nchi gani huyu jamaa, pima size yake na mwenziwe hapo mezani. mimi natizama tuuuuuu asije kwetu akatumalizia kabudget ketu.
 
Je hii ni kweli ama Fiction tu, Huyo jamaa kajaa kweli kweli na msosi huo wote ataumalita tu. je yupo nchi gani huyu jamaa, pima size yake na mwenziwe hapo mezani. mimi natizama tuuuuuu asije kwetu akatumalizia kabudget ketu.

huyo ndo Great Khalii mwanamieleka mwenye asili ya pakistani.....duh! jamaa kaunganisha viti vitatu. Sio fiction jamaa ni mkubwa haswaaa
 
Huyu jamaa ni muhindi man, hapo ni India, huyo jirani ni Salman Khan
 
Huyu jamaa nasikia menu yake ni noma,
 
duuuuuhhh huyu kuku wa4 si anaweza kula asubuhi tu tena peke ake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…