Afu wewe.... shauri zako.Been there right?
Ninaonelewa tu.Afu wewe.... shauri zako.
Unanipotezea kondoo wangu......Ninaonelewa tu.
Akha na hii ipite kama zingineView attachment 387083
-They're attractive and stylish for both men and women. (They add pleasure too...)
-The piercing don't hurt much if you do it in the midline. (just a little pinch)
-If you plan to remove the ring, the tongue will return to normal and will not show signs.
Acha uoga mtoto wa kikeAkha na hii ipite kama zingine
Bila shaka kui ndio chaguo la roho yangu. Nafsi yangu itamshuhudia bwana...moyo wangu hautatikisika kamwe
Hahaha me simuwezi huyo kwa mistariGalpal Heaven Sent
Naomba nisaidie mistari hapa, naona Asprin anajaribu kuni overtake.
Na bado sijamaliza kitabu. Vumilia maisha yangu utakula vya kwanguGalpal Heaven Sent
Naomba nisaidie mistari hapa, naona Asprin anajaribu kuni overtake.
Been there right?
poleeMbona haurudi tu!
Jamani.... Khaaa!!Basi nikadhani na yeye ni kondoo wako.
Kukuvumilia yahitaji uwe a woman and a whole, half hata haifai.
Sio wote wasemao bwana bwana..... oh sorry.Hahah, haya bwana..
Hahahaaaa! Eti akashika mkononi!!Urembo mwengine unahitaji moyo. Sasa mwanaume hizi ulimini ndio nini kwani hawezi kukishika mkononi akamtekenya mkewe badala ya kuweka midomoni?