Tokyo Sky Tree - Japan

Tokyo40

JF-Expert Member
Jun 16, 2013
2,065
1,924
ImageUploadedByJamiiForums1434686659.645503.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434686688.568502.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434686713.185368.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434686734.433989.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434686761.201401.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434686824.498579.jpg
 
Majengo kama haya sipandi.

Mwisho wangu huwa ni ghorofa ya tatu tu. Sijaelewa ni kwanini lakini hata iweje miguu haikubali kuendelea.
 
Hapo ni mwendo wa lift mkuu!

Yap. Najua ni lift, ila kwangu ghorofa ya tatu mwisho. Nilishajaribu, ilikuwa ghorofa 15 tu na tulikuwa na semina on top kule. Aisee, Kichwa kilikuwa kama kinataka kuanguka halafu nikitembea ni kama mtu aliyevaa miwani meusi/ya giza kwa mara ya kwanza au usiku- unakuwa unaruka ruka hivi.
 
Yap. Najua ni lift, ila kwangu ghorofa ya tatu mwisho. Nilishajaribu, ilikuwa ghorofa 15 tu na tulikuwa na semina on top kule. Aisee, Kichwa kilikuwa kama kinataka kuanguka halafu nikitembea ni kama mtu aliyevaa miwani meusi/ya giza kwa mara ya kwanza au usiku- unakuwa unaruka ruka hivi.

Mkuu , you have acrophobia. Fear of heights. Watu wengi wanaogopa kupanda ngazi kwenda juu sana au lift.

Utapata tabu ukija Japan. Ghorofa ni nyingi kutokana na uhaba wa ardhi. Pia, mtetemeko wa ardhi ni karibu kila siku.
 
Majengo kama haya sipandi.

Mwisho wangu huwa ni ghorofa ya tatu tu. Sijaelewa ni kwanini lakini hata iweje miguu haikubali kuendelea.

Yaani mi mwenyewe ghorofa zinanitesa sana, hata nikitumia lift kichwa kinauna sana!
 
  • Thanks
Reactions: rr3
Mkuu , you have acrophobia. Fear of heights. Watu wengi wanaogopa kupanda ngazi kwenda juu sana au lift.

Utapata tabu ukija Japan. Ghorofa ni nyingi kutokana na uhaba wa ardhi. Pia, mtetemeko wa ardhi ni karibu kila siku.

Nina ugonjwa huo pia...
Naweza kuanguka kwa kizunguzungu...
 
Du! Kwangu ni shida sana, nilishwa kupanga gorofa ya Mcel Tower pale Maputo, Msumbiji lina ghorofa karibia 40, kufika ya 17, nikawaambia mtanikuta chini.
 
Yap. Najua ni lift, ila kwangu ghorofa ya tatu mwisho. Nilishajaribu, ilikuwa ghorofa 15 tu na tulikuwa na semina on top kule. Aisee, Kichwa kilikuwa kama kinataka kuanguka halafu nikitembea ni kama mtu aliyevaa miwani meusi/ya giza kwa mara ya kwanza au usiku- unakuwa unaruka ruka hivi.

Mkuu rr3. Hapa nadhani utaweza.

Tianmen Mountain. China.

ImageUploadedByJamiiForums1434729276.655003.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1434729303.220932.jpg
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom