Toka Waarabu waanze kujiingiza kwenye mpira Soka limeanza kupoteza ladha

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
4,047
8,564
Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za Waarabu zilikuwa zimeuweka mpira kama haramu. Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta.

Wananunua vilabu vya Ulaya na kuweka blood money huko. Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio. Mafanikio yao ni kama white elephant projects.

Wanashinda lakini mashabiki kama hawana furaha, angalia Manchester City wameshinda kila kitu ila ni kama hawajashinda chochote (wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki) ni kama wamenunua makombe.

Angalia kina Ronaldo wametimkia Uarabuni lakini wanalipa, mapesa mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike.

PSG walimsajili messi lakini ni kama hawakuwa na Messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa.

Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu, nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu.

Kiufupi Waarabu wao ni watu waharibifu, ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa Saudi Arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?

Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships.

Ukienda kuangalia mechi ya Championship ya Stoke City utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira Etihad under oil money.

I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi.
 
Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za waarabu zilikuwa zimeuweka mpira km haramu

Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta

Wananunua vilabu vya ulaya na kuweka blood money huko

Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio

Mafanikio yao ni kama white elephant projects

Wanashinda lkn mashabiki km hawana furaha,angalia manchester city wameshinda kila kitu ila ni km hawajashinda chochote ( wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki

Ni km wamenunua makombe

Angalia kina ronaldo wametimkia urabuni lkn wanalipa napenda mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike


PSG walimsajili messi lkn ni km hawakuwa na messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa


Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu

Kiufupi waarabu wao ni watu waharibifu ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa saudi arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?

Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships

Ukienda kuangalia mechi ya championship ya stoke city utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira etihad under oil money

I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi
Hivi kwanini masikini wengi Tanzania wana chuki kali dhidi ya waarabu?
 
Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za waarabu zilikuwa zimeuweka mpira km haramu

Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta

Wananunua vilabu vya ulaya na kuweka blood money huko

Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio

Mafanikio yao ni kama white elephant projects

Wanashinda lkn mashabiki km hawana furaha,angalia manchester city wameshinda kila kitu ila ni km hawajashinda chochote ( wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki

Ni km wamenunua makombe

Angalia kina ronaldo wametimkia urabuni lkn wanalipa napenda mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike


PSG walimsajili messi lkn ni km hawakuwa na messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa


Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu

Kiufupi waarabu wao ni watu waharibifu ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa saudi arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?

Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships

Ukienda kuangalia mechi ya championship ya stoke city utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira etihad under oil money

I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi
chochote mwarabu anagusa, popote anajenga, huwa na nuksi.
 
WAARABU ni WATU WA Ajabu sana

Kitu CHOCHOTE kikifanywa na Mwarabu Lazima mambo yaharibike.

Mmechezafano:
Luis MIQUISSONE.
C hama.
Bawajepewaangala.
Kisinda.
Christopher Alex.

Hawa wote wamecheza na wamepewa Hela na Mwarabu na Hatimaye wameishia PABAYA.

Shame
Kwani ambao wamecheza na hawajepewa hela za mwarabu wameishia wapi? Mf. Chuji, Ngassa, Pawassa, Emanuel Gabriel (Baptistuta), Boban Moshi Haruna, Bahanuzi, nk!
 
Kibaya mkienda kucheza na Timu za Waarabu ndio mtanyooka...

Watafanya Kila Aina ya vitinbi.
-uchawi.
-chuki.
-manyanyasi nk

Angalia Simba walivyokuwa Wanaenda vyumbw vya kubadilishianguo Misri na kukuta Kila kitu kimelowana.
Bado mafataki.
Moshi.
Mabomu nk

Waarabu si binadamu wale.
 
Mpira ni hela, nchi za Magharibu zinanyanyasa sana wachezaji, kulazimisha wachezaji kusujudu ushoga na tamaduni za kijinga. Mpira ni kama biashara na kazi, sasa hivi nchi za Ulaya zinahaha maana wachezaji sasa hivi wanatimkia Uarabuni kwenye hela, watu wanaangalia maslahi passion we kaa nayo.

Hata hapa Bongo timu zilipokuwa hazina matajiri kama Mo, GSM na Azam ligi ilikuwa haijulikani hata Africa, uwe na passion halafu huwezi kulipa wachezaji si ujinga huo.
 
Pia playstation zimepunguza passion.
Kifupi sipendi mpira kabisa yaani lakini leta playstation,ewaa
 
Unataka kusema miaka 2000 kurudi nyuma passion ya mpira ilikuw kubwa kuzidi sasa?! You cant be serious.
 
Wazungu wenyewe wame mind kinoma, wanaona ligi yao itapoteza mvuto. Football made in england ndio maana ligi yao inaongoza kutazamwa duniani. Sasa hiyo ligi ya uarabuni nani ataitazama hata kama watajaza mastaa bado sana haina mvuto
 
Nakumbuka miaka ya 2000 kurudi nyuma nchi za waarabu zilikuwa zimeuweka mpira km haramu

Nafikiri ujinga umewaisha kichwani sasa wamevamia mpira wanamwaga pesa za mafuta

Wananunua vilabu vya ulaya na kuweka blood money huko

Alianza PSG kwa kuvuruga hisia za wachezaji na mashabiki kumwaga mapesa bila mpangilio

Mafanikio yao ni kama white elephant projects

Wanashinda lkn mashabiki km hawana furaha,angalia manchester city wameshinda kila kitu ila ni km hawajashinda chochote ( wachezaji hawapati pure passion kutoka kwa mashabiki

Ni km wamenunua makombe

Angalia kina ronaldo wametimkia urabuni lkn wanalipa napenda mengi kwenye media za magharibi waendelee kutangazwa ili wasisahaulike


PSG walimsajili messi lkn ni km hawakuwa na messi kwasababu ni timu fake yenye mapesa


Waarabu wameingiza pesa wananunua kila kitu nahisi hata waamuzi wameanza kuingia kwenye mifuko ya Waarabu

Kiufupi waarabu wao ni watu waharibifu ukiangalia ligi inayochezwa kule katikati ya jangwa saudi arabia ni vichekesho vitupu (mashabiki wanaingia bure wanaambiwa washangilie muda wote) sasa huu ni mpira?

Football is not about winning and having everything, football is about passion, culture, friendships

Ukienda kuangalia mechi ya championship ya stoke city utaona mashabiki walivyo na passion kuliko ukienda kutazama mpira etihad under oil money

I hope hili wimbi la oil money kwenye mpira litapita lituachie mpira wetu halisi
Una hoja na usikilizwe.
Mpira kiukweli umeshuka passion.
Anayekataa sijui labda maOldtimer lakini gone are the days.
Sema kipindi Cha nyuma technology ilikuwa sio kiivyo na social media , Netflix hazikuwepo so option ilikuwa mpira wengine tulikuwa tunajifanya tuna timu tusionekane washamba lakini mpira bana una boa kama sio English premier league na studio zao na sublime za watangazaji mpira ni ufala.
Bora nimcheki Jack Chan
 
Back
Top Bottom