kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,959
- 4,821
Ndio hivyo mambo ya ndani kwa watu siri kubwa kwa hio wewe mwache tu kaka yako aendelee kufua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hivyo mambo ya ndani kwa watu siri kubwa kwa hio wewe mwache tu kaka yako aendelee kufua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtihani ndio maana huna budi kumuokoa ndg yko maana yakayofuata yatakuwa mazito zaidi kumbuka binadamu huanzisha jambo fulani kwa kumjaribu mtu kwanza likitiki anaongeza na mengine!!!
Mkuu tuheshimiane Umejua kikichonileta hapa?Rudi kijijini kwenu ulipotoka kwa kaka yako sio kwako.
Pumbavu nyie ndo ndugu vichomi kumfulia mkewe chupi imekuuma kwani iyo kifunikwa chupi anakitumiaga nani
Rudi kwenu kama unataka ata kaka ako aendelee kukusalimia
Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
Huezi jua makubaliano yao .....Wakuu sio poa kabisa kaka hatendewi Haki yani wikiend hii nimeona kwa Macho yangu anafua nguo za shemeji hadi za ndani..
Naombeni ushauri nifanyaje? Ili kumuokoa brother na huu mtego?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mu-AR shemeji yako kisha umwambie asiendelee kumdhalilisha kaka yako, na kaka yako mwambie umemla 0713 mkewe kwa vile mkewe hamtendei sawa!!Wakuu sio poa kabisa kaka hatendewi Haki yani wikiend hii nimeona kwa Macho yangu anafua nguo za shemeji hadi za ndani..
Naombeni ushauri nifanyaje? Ili kumuokoa brother na huu mtego?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu sio poa kabisa kaka hatendewi Haki yani wikiend hii nimeona kwa Macho yangu anafua nguo za shemeji hadi za ndani..
Naombeni ushauri nifanyaje? Ili kumuokoa brother na huu mtego?
Sent using Jamii Forums mobile app
mtoto wa kiume anasema mfyuuu.
Basi lazima ni wivu wa kike unamsumbua.
mtoto wa kiume anasema mfyuuu.
Basi lazima ni wivu wa kike unamsumbua.
Mahaba babu weee!Wakuu sio poa kabisa kaka hatendewi Haki yani wikiend hii nimeona kwa Macho yangu anafua nguo za shemeji hadi za ndani..
Naombeni ushauri nifanyaje? Ili kumuokoa brother na huu mtego?
Sent using Jamii Forums mobile app