Tohara kwa watoto!

Straight corner

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
385
132
Wana JF poleni na majukum!
1. Naomba kufahamishwa ni umri gani mzuri kwa mtoto kufanyiwa tohara?
2. Ni hospitali gani kuna dactari mzuri kwa kutoa huduma hii ((Niko D'salaam))?
3. Inaweza kugharimu kiasi gani.

Natanguliza shukurani zangu wakuu kwani katika sehemu sitaki kukosea ni hapa, naamini wengi mnafahamu unyeti wa suala hili.
 
kama mtoto wako ni less than 3month muone Prof Karim pale upanga yuko fiti sana mtoto anapona within 5 days. nimefanyia watoto wangu wote pale 3
 
Back
Top Bottom