Togo Yapiga Marufuku Adhabu ya Kifo.

Junius

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
3,181
139
Lome-Togo,
Bunge la Togo hapo jana limepitisha sheria ya kupiga marufuku utekelezwaji hukumu ya kifo.
Waziri Mkuu wa Hispania Jose Luis Rodriguez Zapatero alishuhudia Bunge hilo la wajumbe 81 likipitisha sheria hiyo.
"Ni hatua nzuri kwa taifa la Togo katika kurejesha demokrasia na kulinda haki za binaaadamu" alisema Zapatero.
Rais wa taifa hilo la Magharibi ya Afrika Faure Gnassingbe anatarajiwa kusaini sheria hiyo tayari kuanza kutumika.
Togo inakuwa nchi ya 15 kati ya wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na ni ya 94 duniani kupiga marufuku adhabu ya kifo.
Mara ya mwisho kwa nchi hiyo kutekeleza adhabu ya kifo ilikuwa ni mwaka 1978 na tokea hapo imebakia katka vitabu vya sheria bila ya kutekelezwa.

SOURCE: VOA/AP
 
Taarifa hii inafurahisha. Sisi tanzania tunangoja nini kubadilisha sheria zetu ili kuondoa adhabu ya kifo, does it really make sense kuzuia kitendo cha kuua kwa kuua? Je toka adhabu hii imekuwa ikitekelezwa kumekuwa na kupungua kwa makosa hayo? in the sense kuwa inadeter watu kurudia kufanya hivyo?

Tume ya kurekebisha sheria iamke!!!!!!!!
 
Lome-Togo,
Bunge la Togo hapo jana limepitisha sheria ya kupiga marufuku utekelezwaji hukumu ya kifo.
Waziri Mkuu wa Hispania Jose Luis Rodriguez Zapatero alishuhudia Bunge hilo la wajumbe 81 likipitisha sheria hiyo.
"Ni hatua nzuri kwa taifa la Togo katika kurejesha demokrasia na kulinda haki za binaaadamu" alisema Zapatero.
Rais wa taifa hilo la Magharibi ya Afrika Faure Gnassingbe anatarajiwa kusaini sheria hiyo tayari kuanza kutumika.
Togo inakuwa nchi ya 15 kati ya wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) na ni ya 94 duniani kupiga marufuku adhabu ya kifo.
Mara ya mwisho kwa nchi hiyo kutekeleza adhabu ya kifo ilikuwa ni mwaka 1978 na tokea hapo imebakia katka vitabu vya sheria bila ya kutekelezwa.

SOURCE: VOA/AP
Thumbs up Togo, you are in the right direction
 
Back
Top Bottom