Tulizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 848
- 663
Tulizo kuwa kwetu kwenye kundi la wanyama kusitufanye tuact kama wanyama.Tumepewa akili tuweze kuchambua mambo na kufanya maamuzi binafsi hivyo ni maamuzi tu wala sio asili yetu.
Nimekubali..nadhani hiyo nayo imeshaingia kwenye list ya visingizio..