Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,427
.......kati ya wanaume na wanawake linapokuja swala la kutoka kwenye mahusiano na kuingilia mapenzi ya wengine.
Haya mawazo nimeyapata baada ya majadiliano yaliyokuwepo kwenye mada ya NK https://www.jamiiforums.com/mahusia...t-help-you-guys-to-rescue-your-marriages.html ...
...Wanawake wakicheat lazima wawe na visingizio vinavyowahusu wenzi wao....ananinyanyasa..mapenzi hamna..hanijali..haniridhishi n.k
Ngumu sana kwa wao kukubali kwamba wamekosea bila kumtumia lawama mwanaume.
...Wanaume wanasingizia nature pia wanakubali kwamba ni matokeo ya tamaa zao (kula mboga moja kila siku kunakinahisha)...japo wapo wenye visingizio kama vya wanawake sio asilimia kubwa kama wanawake.
...Mwanamke anaetoka na mume wa mtu anaona sifa na kudhani kwamba amemuweza mwenye mume.
...Mwanaume anaetoka na mke wa mwenzake anamuonea huruma mwanaume mwenzake nakumshusha hadhi huyo mke.
...Mwanamke anaona sifa mwanaume akimuacha mkewe na kukimbilia kwake na ni rahisi kukubali ndoa nae kuonyesha kwamba yeye ni zaidi ya aliyeachwa.
...Mwanaume anaona mwanamke anaekubali kumuacha mumewe kwaajili yake hafai na ni wachache wenye ujasiri wa kuendeleza nao mahusiano achilia mbali kutaka ndoa.
...Mwanamke akibambwa analia na kujifanya yeye ndio victim.
...Mwanaume anakataa kwamba sio kweli....kama kuna ushahidi wa kutosha anamsingizia shetani kisha anaomba samahani.
..................what else???
Na hapana simaanishi wote ila majority....
Haya mawazo nimeyapata baada ya majadiliano yaliyokuwepo kwenye mada ya NK https://www.jamiiforums.com/mahusia...t-help-you-guys-to-rescue-your-marriages.html ...
...Wanawake wakicheat lazima wawe na visingizio vinavyowahusu wenzi wao....ananinyanyasa..mapenzi hamna..hanijali..haniridhishi n.k
Ngumu sana kwa wao kukubali kwamba wamekosea bila kumtumia lawama mwanaume.
...Wanaume wanasingizia nature pia wanakubali kwamba ni matokeo ya tamaa zao (kula mboga moja kila siku kunakinahisha)...japo wapo wenye visingizio kama vya wanawake sio asilimia kubwa kama wanawake.
...Mwanamke anaetoka na mume wa mtu anaona sifa na kudhani kwamba amemuweza mwenye mume.
...Mwanaume anaetoka na mke wa mwenzake anamuonea huruma mwanaume mwenzake nakumshusha hadhi huyo mke.
...Mwanamke anaona sifa mwanaume akimuacha mkewe na kukimbilia kwake na ni rahisi kukubali ndoa nae kuonyesha kwamba yeye ni zaidi ya aliyeachwa.
...Mwanaume anaona mwanamke anaekubali kumuacha mumewe kwaajili yake hafai na ni wachache wenye ujasiri wa kuendeleza nao mahusiano achilia mbali kutaka ndoa.
...Mwanamke akibambwa analia na kujifanya yeye ndio victim.
...Mwanaume anakataa kwamba sio kweli....kama kuna ushahidi wa kutosha anamsingizia shetani kisha anaomba samahani.
..................what else???
Na hapana simaanishi wote ila majority....