Nimekusikiliza vizuri sana Sheukh wangu na tayari nimekuelewa kuwa vita hivi vina udini ndani yake au niseme ni ya kidini zaidi kuliko kimaslahi...Iran wanaisimama katika Uislam wao wanachukiwa na Makafiri, ila Wamisri kwakuwa tayari wanaendana na mfumo wa kikafiri hawawezi kusumbuliwa Asilani
Allah atasimama na Dini ya Hakhi itasimama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.