tofauti ya simu zenye AT&T

tofauti ya simu zenye AT&T

sigachuma

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2011
Posts
233
Reaction score
29
hivi hizi smartphones zinanichanganya sana, kuna nyingine zina at&t na nyingine hazina... Kwa mwenye ujuzi na hii kitu
 
Mkuu kwa nijuavyo mimi hiyo uitajayo ni kampuni ya simu kama vile vodacom au celtel so hiyo simu iangalie vizuri lazima iwe ni samsung au brand yoyote lakini mtandao ndio at&t
 
Mkuu kwa nijuavyo mimi hiyo uitajayo ni kampuni ya simu kama vile vodacom au celtel so hiyo simu iangalie vizuri lazima iwe ni samsung au brand yoyote lakini mtandao ndio at&t

nimeona kwenye web ya gsmarena samsung i777 ina nembo pia hiyo ya at&t sasa kama ni hivyo naanza kupata picha
 
Kuna mtu aliniambia eti zinakuwa ni za promotion sijui ni kweli

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
At&t ni kampuni ya simu kama vodacom, ni ya kimarekani. Ila wao wana system tofauti na sisi, wanaingia mikataba na watengenezaji wa simu kama samsung, htc, sony na nyinginezo. Wananunua brand na baada ya hapo unanunua simu toka kwao, zikiwa locked kwenye network zao, mfano, waweza nunua samsung galaxy iii kwa mkataba wa miaka miwili kwa kulipia dola 100 kila mwezi, hiyo simu itakuwa locked, maana yake utatumia network za at&t tu, huwezi tia sim card ya verizon au zingine, mkataba ukuiisha unauhuru wa kununua sim nyingine.
Wanaoishi huko watatufahamisha zaidi.
 
Back
Top Bottom