Tofauti ya mwanamke na mwanaume kimtazamo

Tofauti ya mwanamke na mwanaume kimtazamo

Hii kwa ekpiliens yangu, mtu anakuzengua. Unamuacha. Unaona hajali, unaumia na kumove on. Halafu baadaeee anajileta
Kulia hapana ila kiukweli baada ya muda fulani kuna ka regret fulani hivi,ishanitokea mara nyingi.

12-png.315118
 
Hii hainihusu kwasababu akisogea always nipo mgongoni kwake!

1-png.315122
 
Hii inaleta mnuno...maanake mtu anauliza 'nimependeza'? ukimwambia nakuona vile vile shida!

14-png.315120
 
Hii ni kweli na inakera balaa....unampigia simu niko Dar nakuja Moro jiandae, ukifika bado hajamaliza kuvaa!!!

10-png.315117
 
Back
Top Bottom