john tough
Member
- Sep 25, 2015
- 42
- 6
Jamani nawaombeni mnitofauti kati ya mjinga na mpumbavu... Maana sielewi lipi tusi au yoni ni matusi au sio matusi..tafadhalini wakuu
IgnorantNyerere alisema:
Ujinga==ugonjwa kwamba ugonjwa ukitibiwa unapona hivyo na mjinga akielimishwa ujinga wake humtoka NA..
Upumbavu== alisema ni kama kipaji hautoki (nadhani hili ndio tusi)