Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 8,312
- 28,487
Kutokana na mawazo uliyoyatoa...mtoa mada inaonekana ni maskini na umaskini umekupanda kichwani hadi unajiona mnyonge hata katika mahusiano yako binafsi kwa kuwa una imani kubwa kuwa mapenzi bila ya pesa hayawezekani ila umetafuta weakness point ya ndoa za kitajiri ( sio halisia) ili uboost ujasiri wako.
Inaonekana fukara mwenzio aliolewa katika familia ya kitajiri na akakutana na madhaifu uliyoyatoa lakini kumbuka si ndoa zote za kitajiri zipo hivyo...
Ndoa haitegemei hali tu bila ya hulka na haiba ya wanandoa wenyewe hivyo, hali si kiini cha furaha ya ndoa yako.. SHTUKA...
Kubali hali yako kama ulivyo ila usiiendekeze kwa kuwa bado una nafasi ya kuiondoa na kumbuka watoto wa kitajiri hawana muda NA waswazi kwa kuwa wanajiona wana kila kitu wanachokihitaji ila waswazi huwazungumzia vibaya watoto wa kitajiri ili wajione wapo sawa au juu yao lakini wivu wa kuyakosa wanayoyatamani huwatafuna...usiwe hivi..
LIVE YOUR LIFE..
Inaonekana fukara mwenzio aliolewa katika familia ya kitajiri na akakutana na madhaifu uliyoyatoa lakini kumbuka si ndoa zote za kitajiri zipo hivyo...
Ndoa haitegemei hali tu bila ya hulka na haiba ya wanandoa wenyewe hivyo, hali si kiini cha furaha ya ndoa yako.. SHTUKA...
Kubali hali yako kama ulivyo ila usiiendekeze kwa kuwa bado una nafasi ya kuiondoa na kumbuka watoto wa kitajiri hawana muda NA waswazi kwa kuwa wanajiona wana kila kitu wanachokihitaji ila waswazi huwazungumzia vibaya watoto wa kitajiri ili wajione wapo sawa au juu yao lakini wivu wa kuyakosa wanayoyatamani huwatafuna...usiwe hivi..
LIVE YOUR LIFE..