Tofauti ya masikini na tajiri katika ndoa

Tofauti ya masikini na tajiri katika ndoa

Sio
Morning JF,

Ingawa wanawake wengi wamekuwa wakiota kuolewa na matajiri au watu wenye uwezo ilhali yy mwanamke std7 na kwao maskini tegemea yafuatayo.
1)Mwanaume kukudharau na kuku
nyanyasa akijua hutaweza kurud
Kwenu ulikotoka.
2)utateswa na mawifi na wakwe wakijua umefata pesa kwa mwanae ht km unampenda kweli.
3)wazazi au ndugu zako wakija kukusalimia watadharauliwa pia na utapigwa mbele yao ht kama huna kosa.
4)utaendesha gar nzur utakula vizur utafany shopping lakin hutanenepa utazid kukonda wanawake wenzio wataona unafaidi lakin ukwel unao moyoni.
5)utavumilia ufe na tai shingoni ukiogopa kuondoka utachekwa na wabaya wako.

UKIOLEWA NA MASKINI

1)atakusaidia kuosha vyombo kupika na kufagia nk.
2)Mtakaa pmj kujadil jinsi kujiendeleza kimaisha.
3)mtakuwa marafiki mtashirikishana kila jambo.
4)hutakula vizur sn lakin utanenepa sbb ya nyama ya ulimi(kauli njema)
5)atapigana na yyte kwa ajili yako
Hatakubali uonewe kabisa.

KAZI KWENU WADADA
Sio kweli kabisa tatizo kubwa wanawake walio wengi wamekosa adabu na kujisahau,hata umsaidie umhurumia, umwekee karibia kila kitu bado adabu iko nyuma, wanaume walio wengi wanawapenda wake zao kuliko wanawake wanavyowapenda waume zao, ila wanawake wanataka waabudiwe badala ya kupendwa, chazo cha maovu ni kukosa pesa.
 
Kiufupi kunguru hafugiki. Kama tabia yake ndo hiyo hata atembelewe na Yesu
 
Eeee Mwenyezi endelea kunipa moyo huuhuu nimpende na kumheshimu mke utakaenijaalia! Wenye wake treat yo queens nicely, mwanamke au binadam yeyote kama hujamkosea sidhan kama ataanza dramas out of nowhere.........anywayz am just thinking LOUD
 
Hakuna anayependa shida.. hasa usawa huu unaobana...
 
Oh, my dear. Wapo wanaume Wa Hvo. Kaka angu humsaidia wifi ang hata hvo vyombo. So, c kitu kigeni.
Is he a regular with that au ndo mara moja kwa mwaka,...mkiishi wawili tu na mumeo naona ts okay,zaidi ya hapo nadhani ni bora kazi za ndani mwanaume apumzishwe atafte hela kwa bidii,aajiriwe dada asaidiane na mama mwny nyumba kwny petty isssues za nyumbani
 
wapo shogaake, nimefuliwa mpaka nguo mie..
Hata mie nguo nimefuliwa once niliziacha kwake and t was the sweetest thing kwa kweli, I was soo happy alivoniambia,but kwny ndoa ndo iwe utaratibu wa kila siku mhhhh sitamtegemea/kumsubiria afanye hivo
 
Is he a regular with that au ndo mara moja kwa mwaka,...mkiishi wawili tu na mumeo naona ts okay,zaidi ya hapo nadhani ni bora kazi za ndani mwanaume apumzishwe atafte hela kwa bidii,aajiriwe dada asaidiane na mama mwny nyumba kwny petty isssues za nyumbani
LadyRed, kwan mda wote pesa znatafutwa? My bro huosha akiwa na mda hasa weekend na hata cku zngne pia. But hii inategemea mtu analichukuliaje swala la ndoa. Kama Mtu anahc ndoa n kwa ajili ya kumpumzisha mizigo yake hatafanya kweli but walio na upendo kwa wake zao husaidia.
 
LadyRed, kwan mda wote pesa znatafutwa? My bro huosha akiwa na mda hasa weekend na hata cku zngne pia. But hii inategemea mtu analichukuliaje swala la ndoa. Kama Mtu anahc ndoa n kwa ajili ya kumpumzisha mizigo yake hatafanya kweli but walio na upendo kwa wake zao husaidia.

Na walio na upendo kwa waume zao hufanyaje?
 
LadyRed, kwan mda wote pesa znatafutwa? My bro huosha akiwa na mda hasa weekend na hata cku zngne pia. But hii inategemea mtu analichukuliaje swala la ndoa. Kama Mtu anahc ndoa n kwa ajili ya kumpumzisha mizigo yake hatafanya kweli but walio na upendo kwa wake zao husaidia.
Ni kweli mami,wifi ana bahatii hongera zake
 
namba 1 hapana afanye kwa mapenz yake sio kisa hana kitu itamuumiza kisaikolojia, hyo 4 mmhh wapo masikin na hawana hiyo kabisa
 
Ila mwisho wa siku mwanaume lazima uwe na pesa zaidi ya mkeo kuweka heshima ndani ya nyumba, kuna wanawake wengine hudharau waume zao na anaweza "kukuchoma moyo" wako muda wowote kwa kutoka na kukujulisha hadharani kuwa anaenda gongwa na mwenye pesa. Wanawake wengi ni washenzzy sana.
 
ila katika ndoa 80% hipo hivyo ulivyoandika
na ndo mana wakiasi cha mboga wengi hawajaoa au ndoa zao za hovyo
lkn hukakuta jamaa fala tu hoeae kima chake kwa mwenzi ni mara tatu ya mahahara wako lakini ana jiko safi wanafulaha na wamelidhika wenyewe8 mke asubuhi anapika maandazi mume huyo asubuhi anaenda kubangaiza buguruni sokoni kwa shughuri za kuungaunnga maiaha burudani kila siku wanapanda taratibu tu

ASIKWAMBIE MTU NYUMBA ZENYE MAGETI zina UNYANYAPAA MKUBWA

tafuta kitabu flani cha allymbetu kinaitwa NAMSIKITIKIA SHAMSA WA BAGAMOYO ila kiliishia kati sijui kiliendeleaje ila kina story nzuri sana ya kweri kabisa ya mapenzi kuhusu ndoa
 
Mmh haya mambo hayana SI unit kabisa. Unaweza ukaolewa na maskini, mwanzoni atakupenda, atakujali, atakudekeza hadi uhisi dunia nzima wewe ndo unayependwa kumbe mmmh, kuna watu wana adabu kwa sababu hawana hela. Siku akizifuma sasa Hehehehe, "atahamia kwa wenye hadhi yake". Subiri akifulia ndo atakukumbuka na atarudi na kijuso chake.

Zamani nilidhani mtu ukitoka naye chini ndo atakuheshimu wee, but Sidhani kama hiyo ipo tena, kwa wachache sana. Hakuna uhusiano wa kuwa maskini na kuwa na upendo wa dhati, mwengine atajilazimisha tu kukupenda coz you are what he can afford for now (he has to settle for what is available), na kuna mwingine hela hana na adabu hana, atakudunda na atachepuka tu, huyu ndo komesha.
Miongoni mwa wachache nami nipo
Nafikiri kuna kiwango cha maskini,njia sahihi ni kuzungumzia an average person au kiwango cha Kati,Say ana elimu ya kawaida nowday degree moja ni kawaida kabisa normal,ana kazi ya kuingiza kipato,anajitegemea.
mkianza wote atakupenda sana sana na upendo wa MUNGU Atakuwa nao ni matajiri wachache wanaokumbuka hata kusaidia maskini.
so just play ur part MUNGU Atakupa chaguo lako kwa wakati muafaka usilazimishe angalia akili hela itafuata mwenye akili ya kutafuta au hata kama hana sasa hivi...Atapat tuu....wachache wanaoweza kuliona hili....Heaven sent
 
Miongoni mwa wachache nami nipo
Nafikiri kuna kiwango cha maskini,njia sahihi ni kuzungumzia an average person au kiwango cha Kati,Say ana elimu ya kawaida nowday degree moja ni kawaida kabisa normal,ana kazi ya kuingiza kipato,anajitegemea.
mkianza wote atakupenda sana sana na upendo wa MUNGU Atakuwa nao ni matajiri wachache wanaokumbuka hata kusaidia maskini.
so just play ur part MUNGU Atakupa chaguo lako kwa wakati muafaka usilazimishe angalia akili hela itafuata mwenye akili ya kutafuta au hata kama hana sasa hivi...Atapat tuu....wachache wanaoweza kuliona hili....Heaven sent
Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom