Sio
Sio kweli kabisa tatizo kubwa wanawake walio wengi wamekosa adabu na kujisahau,hata umsaidie umhurumia, umwekee karibia kila kitu bado adabu iko nyuma, wanaume walio wengi wanawapenda wake zao kuliko wanawake wanavyowapenda waume zao, ila wanawake wanataka waabudiwe badala ya kupendwa, chazo cha maovu ni kukosa pesa.Morning JF,
Ingawa wanawake wengi wamekuwa wakiota kuolewa na matajiri au watu wenye uwezo ilhali yy mwanamke std7 na kwao maskini tegemea yafuatayo.
1)Mwanaume kukudharau na kuku
nyanyasa akijua hutaweza kurud
Kwenu ulikotoka.
2)utateswa na mawifi na wakwe wakijua umefata pesa kwa mwanae ht km unampenda kweli.
3)wazazi au ndugu zako wakija kukusalimia watadharauliwa pia na utapigwa mbele yao ht kama huna kosa.
4)utaendesha gar nzur utakula vizur utafany shopping lakin hutanenepa utazid kukonda wanawake wenzio wataona unafaidi lakin ukwel unao moyoni.
5)utavumilia ufe na tai shingoni ukiogopa kuondoka utachekwa na wabaya wako.
UKIOLEWA NA MASKINI
1)atakusaidia kuosha vyombo kupika na kufagia nk.
2)Mtakaa pmj kujadil jinsi kujiendeleza kimaisha.
3)mtakuwa marafiki mtashirikishana kila jambo.
4)hutakula vizur sn lakin utanenepa sbb ya nyama ya ulimi(kauli njema)
5)atapigana na yyte kwa ajili yako
Hatakubali uonewe kabisa.
KAZI KWENU WADADA