Ndo ukome kudananda, nnua zakoLugha maarufu enzi zileeee.....;
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
πΊπΌπΊπΌπΊπΌ
Tunapambana na hali zetu.Lugha maarufu enzi zileeee.....;
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
ππππΊπΌπΊπΌπΊπΌ
Waiter mpe MK254 Bia 6 atalipa mwenyewe.Lugha maarufu enzi zileeee.....;
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
πΊπΌπΊπΌπΊπΌ
Leo sinywi nina natumia dawaLugha maarufu enzi zileeee.....;
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
πΊπΌπΊπΌπΊπΌ
12. Leta jipaba tupo wengi....Lugha maarufu enzi zileeee.....;
1. Lete Tulivyokaa
2. Muongeze 5 huyo
3. Mbona bia haziendi?
4. Usiulize, wee Ongeza tu
5. Mbona jikoni hawatusikilizi??
6. Aah,tunahudumiwa na dume?
7. Nimesema Mbuzi mzima!!
8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?
9. Kuna watu wanabusu bia!
10. Hamishia opener hapa hapa?
Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi
2. Mmh, kaongeza nyingine?
3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?
4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki
5. Tumekula majumbani kwetu
6. Nitanunulia kaunta mwenyewe
7. Mna kongoro?
8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?
9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya
10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua
11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...
πΊπΌπΊπΌπΊπΌ