Tofauti ya lugha kwenye bar baina ya zama zile na zama hizi

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,533
47,777
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
 
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
Ndo ukome kudananda, nnua zako
 
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
Tunapambana na hali zetu.
 
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
Waiter mpe MK254 Bia 6 atalipa mwenyewe.
 
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
Leo sinywi nina natumia dawa
 
Lugha maarufu enzi zileeee.....;

1. Lete Tulivyokaa

2. Muongeze 5 huyo

3. Mbona bia haziendi?

4. Usiulize, wee Ongeza tu

5. Mbona jikoni hawatusikilizi??

6. Aah,tunahudumiwa na dume?

7. Nimesema Mbuzi mzima!!

8. Wee hizi ni kilo 5 kweli?

9. Kuna watu wanabusu bia!

10. Hamishia opener hapa hapa?

Zama hizi sasaaa.....
1. Waruke wote, sijaja nao mimi

2. Mmh, kaongeza nyingine?

3. Bia zenu bei mbaya zaidi ya jirani yenu?

4. dada, uliza kwanza hata kabla ya kuleta toothpiki

5. Tumekula majumbani kwetu

6. Nitanunulia kaunta mwenyewe

7. Mna kongoro?

8. Lete supu tu bila finyango kwani shingap?

9. Siku hizi inashauriwa bia 2 tu kwa afya

10. Hebu toa mavituvitu yenu hapa yanatuzingua

11. Nilitee bili ya bia nilizokuagiza mimi nyingine sizijui...

๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ๐Ÿ•บ๐Ÿผ
12. Leta jipaba tupo wengi....
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom