Tofauti ya jaji na hakimu ni ipi?

ilovebrenda

Senior Member
Jun 23, 2019
105
73
Mabaharia oyeeee. Sisi mabaharia kazi ya majini inatukosesha kufahamu mengi hata ya kawaida tuu, kwa mfano juzi wkt mheshimiwa anawaapisha majaji pale mjengoni tukaanza kubishana bwana... wale mahakimu, mara wale ni majaji. So mabaharia wenzangu wa nchi kavu hebu tusaidieni, hivi hakimu ndio jaji eti eeedh?
 
Mahakimu ni wale wanaotoa haki na kutasfiri sheria kwenye Mahakama za mwanzo,Mahakama za wilaya na Mahakama za mikoa(mahakama ya hakimu mkazi) Majaji ni kwenye ngazi za Mahakama Kuu na Mahakama ya rufani
 
Mahakimu ni wale wanaotoa haki na kutasfiri sheria kwenye Mahakama za mwanzo,Mahakama za wilaya na Mahakama za mikoa(mahakama ya hakimu mkazi) Majaji ni kwenye ngazi za Mahakama Kuu na Mahakama ya rufani

Wewe utakuwa Mwanasheria japo siyo Wakili
 
Mahakimu ni wale wanaotoa haki na kutasfiri sheria kwenye Mahakama za mwanzo,Mahakama za wilaya na Mahakama za mikoa(mahakama ya hakimu mkazi) Majaji ni kwenye ngazi za Mahakama Kuu na Mahakama ya rufani
Justice inatumika wapi?

Kwa maana huko mahakama ya Rufani hakuna Judges bali Justices na bosi wao anaitwa Chief Justice (Jaji mkuu)
 
Mahakimu ni wale wanaotoa haki na kutasfiri sheria kwenye Mahakama za mwanzo,Mahakama za wilaya na Mahakama za mikoa(mahakama ya hakimu mkazi) Majaji ni kwenye ngazi za Mahakama Kuu na Mahakama ya rufani
Lakini 'jaji' ni neno la kiingereza JUDGE maana yake ni HUKUMU kwa hiyo mtenda ni hakimu, naomba unisahihishe mkuu.
 
Jaji ni neno la kiswahili au kiingereza? Kama ni la kiingereza, tutaliitaje kwa kiswahili?
Kama wewe ni mprotestanti

Hakimu ni kama mchungaji au padre
Jaji ni askofu wa jimbo fulani
Chief justice ni askofu mkuu....

Kawe ni waislamu
Hakimu ndio shehe
Wakili ndio shehe ponda
Jaji ni shehe wa mkoa
Chief justice ni mufti
 
Tofauti yao ni mazingira ya kazi jaji ni hakimu lakini si Kila hakimu ni jaji

Nenda mahakama kuu utamkuta jaji ila kwingine ni utamkuta hakimu
 
Tofauti yao ni mazingira ya kazi jaji ni hakimu lakini si Kila hakimu ni jaji

Nenda mahakama kuu utamkuta jaji ila kwingine ni utamkuta hakimu
Sio kweli.
Jaji kazi yake ni kujadili mambo ya serikali
Hakimu kazi yake ni kuhukumu wahujumu uchumi na watakatisha fedha.
 
Back
Top Bottom