Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 6,976
- 10,366
Tanzania ina vyuo vikuu vichache mfano Udsm, Must , SAUT, KAMPALA, UDOM n. K
College ziko ndani ya chuo mfano udsm ina CONAS ,CoECIT , COET,Vyuo vinaweza kuwa na campas udsm ina campus ya DUCE, MuchAS
Institute sio vyuo vikuu DIT, IFM, CBE hivi ni vitivo vinahusika na fani za aina Moja pekee mfano uhandisi au uchumi.
Huwezi kusema college ya CoECIT ni chuo kikuu.
Huwezi kusema TIA ni chuo kikuu.
DUCE sio chuo kikuu bali ni college.
College ziko ndani ya chuo mfano udsm ina CONAS ,CoECIT , COET,Vyuo vinaweza kuwa na campas udsm ina campus ya DUCE, MuchAS
Institute sio vyuo vikuu DIT, IFM, CBE hivi ni vitivo vinahusika na fani za aina Moja pekee mfano uhandisi au uchumi.
Huwezi kusema college ya CoECIT ni chuo kikuu.
Huwezi kusema TIA ni chuo kikuu.
DUCE sio chuo kikuu bali ni college.