Wanajamvi nimeuliza hili swali bila kupata majibu natumaini kuna watu wenye idea zaidi kuhusu hili. Baada ya budget kupitishwa TRA walibadilisha baadhi ya kodi kwa kusema kuanzia 1st July Finance Bill 2012 itatumika kwa kodi mbalimbali, ikiwamo income tax, magari used kupandishwa kodi n.k., leo nasikia kuwa Finance Bill inajadiliwa, TRA wametumia sheria ipi wakati sheria haijapitishwa bali kilichopitishwa ni budget.