Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Wakuu nimejikuta matatani baada ya Afande mmoja kuniagiza maandazi kama kitafunwa, sasa baada ya kukosa maandazi nikaamua nijiongeze mie mwenyewe kumchukulia Donati, kimbembe ni pale Afande alipokuja juu sana na kuniwakia Kwann nimemletea Donati badala ya Andazi! Nini tofauti kati ya vitafunwa hivi?