Katika muendelezo wangu wa uchambuzi wa Siasa nimekua nikimfatilia sana ndugu Julius Mtatiro naibu katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF kwa upande wa Tanzania bara,lengo la ufatiliaji wangu ilikua ni kuendelea kubaini wanasiasa wa kweli na mawakala wa CCM (Shibuda's).
Aidha ufatiliwaji huu ulikua umesimamia mambo ya msingi manne,msimamo wake,ukweli wake,mahusiano na vyama vingine vya upinzani,malengo yake.
NILICHOKIGUNDUA
1.Mtatiro ni mwanasiasa wa kweli na anamalengo ya kweli
2.Kunawakati anakasirishwa na CUF kwa kujenga uadui usio wa maana kwa CHADEMA
3.anafanya siasa na sio mambo ya udini kama CUF
4.anakubaliana na hoja za CHADEMA kila wakati
5.ndani ya CUF,ndugu zetu CCM wanachanganyikiwa na Mtatiro tu.
Aidha ufatiliwaji huu ulikua umesimamia mambo ya msingi manne,msimamo wake,ukweli wake,mahusiano na vyama vingine vya upinzani,malengo yake.
NILICHOKIGUNDUA
1.Mtatiro ni mwanasiasa wa kweli na anamalengo ya kweli
2.Kunawakati anakasirishwa na CUF kwa kujenga uadui usio wa maana kwa CHADEMA
3.anafanya siasa na sio mambo ya udini kama CUF
4.anakubaliana na hoja za CHADEMA kila wakati
5.ndani ya CUF,ndugu zetu CCM wanachanganyikiwa na Mtatiro tu.