qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,359
Napenda kujua tofauti kati ya msichana na mwanamke ni nini umri au kuna vigezo vingine maana maana ya kiswahili na kiingereza nitofauti ningependa kujua nini tofauti?
Napenda kujua tofauti kati ya msichana na mwanamke ni nini umri au kuna vigezo vingine maana maana ya kiswahili na kiingereza nitofauti ningependa kujua nini tofauti?
Mwanamke ni binadamu mwenye jinsi(sex) ya kike na msichana ni mtoto wa kike ambaye bado hajazaa na kwa mazoea yetu ni Kati ya miaka 12-18
Nyote mmeingia chakaMsichana (sekunde 1 - 18yrs)
Mwanamke (18yrs+ - afe)
Niambie umri wako kwanza kabla sijakufafanulia
Nataka nijue umri wako ili nione ninachotaka kukueleza kama utaweza kukielewa au nitakua nmpigia mbuzi gitaa tu!!
Nyote mmeingia chaka
Hii ni kwa mujibu wangu!!
Huenda ukanielewa,ngoja nijaribu,Nina miaka 25 ila tulikuwa tuna bishana hapa wanaume na wanawake nini tofauti ya hayo maneno mawili kila mtu alitoa mawazo yake binafsi na hatukupata muafaka hadi leo.
Huenda ukanielewa,ngoja nijaribu,
Mwanamke ni binadamu mwenye jinsia ya kike ambae ana ukomavu kiakili
Msichana ni bonadamu mwenye jinsia ya akili asiyekuwa na ukomavu kiakili
The same thing kwa Wanaume na wavulana!
Kwa hiyo hata waliobanduliwa wakiwa na miaka 12 tayari wanawake.......?Binti ni yule ambae ana seal (bikra) yake.
Mwanamke ni yule ambae seal (bikra) imebanduliwa.
hapa ulikusudia kike sio?ufafanuzi wako unaeleweka vizuri
Binti ni yule ambae ana seal (bikra) yake.
Mwanamke ni yule ambae seal (bikra) imebanduliwa.
Bikra inabanduliwa?
Kama ni ndio,inabanduliwaje?
Binti ni yule ambae ana seal (bikra) yake.
Mwanamke ni yule ambae seal (bikra) imebanduliwa.