Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Taifa star ni ile timu ambayo inaunganisha wachezaji wa bara na visiwani na kuwa timu ya taifa la Tanzania. Ikiwa zanzibar heroes/stars ni ile ambayo inajumuisha wachezaji wa zanzibar tu kama nchi lakini haitambuliwi na fifa. Kilimanjaro stars ni ile timu ambayo inajumuisha wachezaji toka Bara tu me napenda kuiita timu ya taifa la TANGANYIKA ingawa hawaiiti hili jina!
Kuhusu kombe kubaki hapa hata kama tutafungwa si neema kwani ushindi utakuwa umekwenda kwa wageni na Zawadi/thamani ya pesa itakuwa imekwenda huko!
Kwa kuongezea tu ni kwamba, unapozungumzia Cecafa, Zanzibar ni mwanachama wa Crcafa na pia Tanzania Bara ni mwanachama peke yake. Ila unapokuja kwenye CAF ni Tanzania( bara na visiwani) ndio mwanachama na sio mwanachama mmoja mmoja kama inavyotambuliwa na Cecafa. Ila mnaonaje kama hata kwenye mashindano ya CAF watanzania tukiingiza timu mbili kama ilivyo CECAFA?Asante sana kaka kwa ufafanuzi mzuri sana. kumbe kuna umuhimu wa kukazana kesho ili tubaki na kombe hilo.
WanaJ, mimi bado niko njia panda, kwa sasa kuna mashindano ya CECAFA yanaendelea ambapo kuna timu ya Tz inafanya vizuri. Kwa nini mara ingine initwa Taifa stars na wakati mwingine Kilimanjaro stars? Ni wakati gani inakuwa Taifa stars na ni wakati gani timu yetu inaitwa Kilimanjaro stars? I am confused actually!!! Naomba ufafanuzi pliz!!!
Taifa star ni ile timu ambayo inaunganisha wachezaji wa bara na visiwani na kuwa timu ya taifa la Tanzania. Ikiwa zanzibar heroes/stars ni ile ambayo inajumuisha wachezaji wa zanzibar tu kama nchi lakini haitambuliwi na fifa. Kilimanjaro stars ni ile timu ambayo inajumuisha wachezaji toka Bara tu me napenda kuiita timu ya taifa la TANGANYIKA ingawa hawaiiti hili jina!
Kuhusu kombe kubaki hapa hata kama tutafungwa si neema kwani ushindi utakuwa umekwenda kwa wageni na Zawadi/thamani ya pesa itakuwa imekwenda huko![/QUOTE]
Kwa yekundu hapo sijui kama uko sahii,kwani ninavyojua ni kuwa sheria za CECAFA ni kuwa timu zilizokaribishwa ikiwemo ivory coast hata ikishinda haipewi ubingwa.ila kimantiki ndiyo inakuwa bingwa lakini wao watapewa ushindi wa heshima lakini pesa,kombe vinabaki bonmgo mzee.
Mbona timu za Zanzibar hushiriki michuano ya Club Bingwa Afrika na kombe na mshindi ambalo hushikisha timu inayokuwa mshidi wa pili kwenye ligi ya nchi husika... hapa kuna utata au unieleweshe zaidiKwa kuongezea tu ni kwamba, unapozungumzia Cecafa, Zanzibar ni mwanachama wa Crcafa na pia Tanzania Bara ni mwanachama peke yake. Ila unapokuja kwenye CAF ni Tanzania( bara na visiwani) ndio mwanachama na sio mwanachama mmoja mmoja kama inavyotambuliwa na Cecafa. Ila mnaonaje kama hata kwenye mashindano ya CAF watanzania tukiingiza timu mbili kama ilivyo CECAFA?
ufafanuzi wenu ni mzuri mno. naona leo kombe na minoti yote itabakia hapa bongo maanampaka sasa tunaongoza wa bao moja...
subiri kwenye hii katiba mpya tunayodai, hilo tutaliingiza ili watu wote wafahamu kuwa kuna tanzanyika. unajua watoo walio chini ya miaka 15 wengi haewajui kama kulikuwa na tanganyika...Kwa nini watu wanajitaidi kulikwepa jina la Tanganyika wakati ZENJI wanatumia lao la Zanzibar