MUTAKANGWA
Member
- Oct 28, 2013
- 37
- 2
Habari za leo wadau
Swali langu kwenu ni kutaka kujua tofauti iliyopo kati ya engine za IST zenye 1290cc na 1490cc.
Nini hasa kinachotofautisha aina hizi za injin? Je ni katika matumizi ya mafuta tu ama kuna vitu vingine vya ziada.
Naomba msaada wenu tafdhari
Natanguliza shukrani
Swali langu kwenu ni kutaka kujua tofauti iliyopo kati ya engine za IST zenye 1290cc na 1490cc.
Nini hasa kinachotofautisha aina hizi za injin? Je ni katika matumizi ya mafuta tu ama kuna vitu vingine vya ziada.
Naomba msaada wenu tafdhari
Natanguliza shukrani